Ndugu zangu watanzania poleni na hongereni kwa pilika pilika za msimu wa sikukuu!
Nimekuwa na kero ya muda mrefu kuhusu hizi school bus wanazopanda watoto wetu.
Kuna baadhi ya shule ambazo wanafunzi hubebwa kwa bus na hizo bus nyingi hazina hadhi ya kubeba watoto kwasababu ya ubovu na uchakavu...
Vipi kuhusu majimbo ya kina Nimrod Mkono na Sospeter muhongo? Kwa tukio la kushambuliwa kwa Lisu na utofauti ulioonyeshwa na Spika pamoja na serikali dhidi ya Lisu ilipaswa busara itumike na siyo sheria.
Mimi nitaungana na watanzania wengi kutopiga kura hadi itakapopatikana katiba mpya.
Katika muktadha huu ambao nguvu ya CCM ni mchanganyiko wa CCM+POLISI +VYOMBO VINGINE VYA DOLA, kushiriki uchaguzi ni sawa na kulima nafaka kwenye hifadhi ya wanyama pori.
Wapo tu na huletwa kila siku hao wawekezaji + viwanda vipya 3000 lkn bado uchumi wetu upo pale pale . Magufuli ni leader mzuri lkn sina imani na hawa kina Palamagamba Kabudi,
Bosi.....Ferouz, Juma Nature na Solo thang
Sonia.....Juma Natute
Malaika...King Crazy GK na TID
Starehe.....Ferouz na Prof Jay
Bongo Daresalam.....Prof Jay na Lady Jaydee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.