Serikali: Thamani ya shilingi ya Tanzania yazidi kuimarika moja ya sababu ni matumizi ya gesi asilia

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Tsh. 2,300.9 ikilinganishwa na Tsh. 2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018.

Utulivu katika mwenendo wa thamani ya shilingi umetokana na utekelezaji wa sera ya fedha, usimamizi madhubuti wa mapato na matumizi ya Serikali, matumizi ya gesi asilia badala ya mafuta na kuzalisha umeme.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Juni 13, 2019 na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati akiwasilisha bungeni jijini Dodoma taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020.

“Sababu nyingine ni baadhi ya viwanda kuzalisha bidhaa ambazo awali zilikuwa zikiagizwa kwa wingi kutoka nje ikiwemo vigae na marumaru,” amesema Dkt. Mpango.

 
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Tsh. 2,300.9 ikilinganishwa na Tsh. 2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018.

Hayo maelezo kama hayajakosewa basi yanamaanisha thamani ya shilingi yetu haijaimarika bali imeshuka kwa sababu mpaka mwezi April 2019, kwa wastani tumekuwa tukitumia pesa nyingi zaidi (Tsh. 2,300.9) kupata dola 1 wakati kwa mwaka jana katika kipindi hicho hicho kwa wastani tulitumia kiasi kidogo cha pesa (Tsh. 2,270.3) kupata hiyohiyo dola 1.

Kutumia shilingi nyingi zaidi kupata dola 1 kunamaanisha shilingi imeshuka thamani and vice versa.
 
Mkuu hapo ulipoandika marumaru na tiles sijaelewa c.c kabudi
 
1127801



Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Sh2,300.9 ikilinganishwa na Sh2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018.

Utulivu katika mwenendo wa thamani ya shilingi umetokana na utekelezaji wa sera ya fedha, usimamizi madhubuti wa mapato na matumizi ya Serikali, matumizi ya gesi asilimia badala ya mafuta na kuzalisha umeme.
 
View attachment 1127801


Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Sh2,300.9 ikilinganishwa na Sh2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018.

Utulivu katika mwenendo wa thamani ya shilingi umetokana na utekelezaji wa sera ya fedha, usimamizi madhubuti wa mapato na matumizi ya Serikali, matumizi ya gesi asilimia badala ya mafuta na kuzalisha umeme.
Tupe misingi ya analysis yako
 
ni kweli cause tangu nchi ipate uhuru haijawahi kutokea kwa shilingi kushuka thamani na kubadilishwa kwa 2300 dhidi ya USD

Hili limetokea kwa huyu Mhutu
BLACK SADIST
INTAPWENYWAA
KATARIST !
 
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Sh2,300.9 ikilinganishwa na Sh2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018.


Kutoka 2,270 hadi 2,300 ni kuimarika kinyumenyume.
 
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Tsh. *2,300.9* ikilinganishwa na Tsh. *2,270.3* katika kipindi kama hicho mwaka 2018.

Halafu watakuja wajinga wa uvccm kupiga makofi
 
Shilingi inaimarika kivipi? Au labda mimi sielewi maana ya kuimarika kwa shilingi dhidi ya dola
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Tsh. 2,300.9 ikilinganishwa na Tsh. 2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018.

Utulivu katika mwenendo wa thamani ya shilingi umetokana na utekelezaji wa sera ya fedha, usimamizi madhubuti wa mapato na matumizi ya Serikali, matumizi ya gesi asilia badala ya mafuta na kuzalisha umeme.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Juni 13, 2019 na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati akiwasilisha bungeni jijini Dodoma taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020.

“Sababu nyingine ni baadhi ya viwanda kuzalisha bidhaa ambazo awali zilikuwa zikiagizwa kwa wingi kutoka nje ikiwemo vigae na marumaru,” amesema Dkt. Mpango.

View attachment 1126347
 
Nini kinaendelea katika Pesa yetu ya Tanzania? Kwa miezi kadhaa thamani ya pesa yetu dhidi ya dola ya marekani ulikuwa imara (stable) ila kwa wiki kama mbili au tatu sasa thamani yake imekuwa ikiporomoka. Nini kinaikabili pesa yetu?

Ahsante
 
Nini kinaendelea katika Pesa yetu ya Tanzania? Kwa miezi kadhaa thamani ya pesa yetu dhidi ya dola ya marekani ulikuwa imara (stable) ila kwa wiki kama mbili au tatu sasa thamani take imekuwa ikiporomoka. Nini kinaikabili pesa yetu?

Ahsante
Unfavourable balance of payments.

dodge
 
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika na katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, Dola moja ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa Tsh. 2,300.9 ikilinganishwa na Tsh. 2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018.

Utulivu katika mwenendo wa thamani ya shilingi umetokana na utekelezaji wa sera ya fedha, usimamizi madhubuti wa mapato na matumizi ya Serikali, matumizi ya gesi asilia badala ya mafuta na kuzalisha umeme.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Juni 13, 2019 na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati akiwasilisha bungeni jijini Dodoma taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020.

“Sababu nyingine ni baadhi ya viwanda kuzalisha bidhaa ambazo awali zilikuwa zikiagizwa kwa wingi kutoka nje ikiwemo vigae na marumaru,” amesema Dkt. Mpango.

View attachment 1126347
Hii ni habari njema sana na haya ndio maendeleo tuyayoyataka.

P
 
Back
Top Bottom