MCHANGO WA MBUNGE WA JIMBO LA KISESA, MHE. LUHAGA JOELSON MPINA (MB) AKICHANGIA KUHUSU MAKADIRIO YA
MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2023/2024 BUNGENI DODOMA TAREHE 1 JUNI 2023
Changamoto kwenye mradi wa LNG:
(i) Hakuna taarifa ya kufanyiwa mapitio ya PSA katika vitalu na 1, 2...
Ni asubuhi na mapema. Wafanyakazi wa kampuni ya The Guardian Limited chini ya kampuni ya IPP wanaripoti kazini na kukutana na mti maridadi wa Christmas ukiwa na mapambo kwenye eneo la mapokezi.
Nyuma ya mti huo wa Krismasi kuna ukuta mweupe ukiwa na maneno makubwa The Guardian Limited -- The...
Naona mkuu kichwa kimepata moto bure. Wafanyakazi hao uliowataja mikataba yao ya kazi tangu awali iko na Bulyanhulu na North Mara na siyo Barrick na inaendelea kubaki hivyo kama walivyosema wanaojua suala hili vizuri. Sasa kama mikataba ya wafanyakazi inaendelea kubaki na BULYANHULU na NORTH...
EL ni tatizo. Na CCM wakirogwa wamuweka yeye kama mgombea 2015 kwa njia za rushwa wajue ule utabiri wa Mwalimu Nyerere utatimia kuwa upinzani wa kweli TZ utatoka ndani ya CCM na chama tawala kitakufa kama KANU ya Kenya.
Huyu Lowassa 2015 ni kumuweka Segerea tu nchi hii itulie na itawalike vizuri. Kesi iko wazi, kujilimbikizia mali kwa kutumia ofisi za umma. Hosea atolewe pale TAKUKURU awekwe mtu shupavu ampeleke mahakamani huyu Mamvi anyamazishwe once and for all.
Kama ni suala la mashine ya kazi, Lowassa hamfikii Magufuli hata robo kwa utendaji kazi. Kwa nini Magufuli hapigiwi kampeni kuwa Rais? Jibu rahisi, kwa kuwa hajatoa rushwa kama anavyotoa EL.
wewe adili anakujua nani? usitafute promo kwa nguvu na za kijinga,fanya kazi ya maana utaonekana tu,sijawai kukuskia radioni kukuona kwenye tv hata ch 5 sasa hii tv pia ni ya clouds? kwani na huko wanakubania? mbona wasanii wengine wanaonekana? iweje unapiga yowee ili mradi uskike tu!!! fanya...
Kibanda siku zote wala hafichi kuwa yeye anawatumikia mafisadi na Edward Lowassa ni bwana wake. Huyo Kubenea wa MwanaHalisi ndio amekuwa mnafiki siku zote kujidai eti anapambana na mafisadi kumbe kashafika bei na wamemnunua na yeye siku nyingi sana. Hawa ndio waandishi wa habari wanaostahili...
Hatudanganyikiiiiii! Sitta ni kiongozi mwenye msimamo, kuisadia serikali na waziri mkuu kwa mambo anyoamini ni sawa kwani ikumbukwe kuwa yeye ni mwana CCM na ni waziri. Tunamwamini na kumhitaji SAMUEL SITTA kutokana na kukataa kuwa kigeugeu na mnafiki katika kupinga ufisadi na siku zote amekuwa...
Nampongeza dada Shy kwa ujasiri wake wa kuongea ukweli si watu wengi wenye ujasiri wa kuweka ukweli hadhalani na kinachowasaidia ni kuweka mawazo yao kwa kutumia mgongo wa account binafsi.
Akiongea ukweli unaona watu wasiokuwa na hoja wanamuandama kwa masuara yake binafsi. Kwanza sioni tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.