matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Sasa huu si utoto???????
huwa nachukia sana tabia ya wabongo kudharau kazi za sanaa,eti utoto..sanaa ni sekta iliyoajiri vijana wengi sana mkuu,tena kwenye nchi za wenzetu ata hapa africa mfano sauz africa,nigeria ata apo uganda imetoa mamilionea vijana,lakini kwetu msanii anadharaulika kweri na inaonekana hana haki ya kufaidi jasho lake..mbaya zaidi anatokea mtu kujaribu kuondoa hii zana kwa vitendo,basi anakatishwa tamaa kwa kila namna uku mnyonyaji wa huu muziki akisifiwa ye ndo mjanja..kuna siku humu jamvini mtu mmoja alisema Sugu badala ya kuongelea vitu vya maana ye amekazana na ujinga wake,yani ye kwake sanaa ni ujinga na kitu kisicho na maana akipaswi kuzungumziwa kabisa sehemu kama bungeni..Sugu ana kazi sana!