Mwisho unashaka na wanaomuona Lowassa kutokuwa mwaminifu. Enzi za Kambarage Nyerere kulikuwa na ushushu uliojua kazi yake. Kila mtu alijulikana kila alichokuwa akikifanya hasa watumishi. Hata uende baa kesho yake ungetajiwa idadi ya bia ulinunua baa. Ufisadi wa Lowassa kama Nyerere alivyousema hadi leo Lowassa hajawahi kukana. Hivi leo Lowassa anazungumuzia kutokuwepo ajira kakini alikuwa jikoni wakati wa mipango ya awali ya nchi hii, wameharibu akiwepo, sifa za uthubutu, kuwa na maamuzi, nk, vinatoka wapi? Au vinaundwa kwa sababu ya pesa yake? Kulikuwepo mipango kwa kukuza kilimo sambamba viwanda ili kumaliza tatizo la ajira na kuongezea kilimo thamani. Vitu kama NMC, GAPEY, TANZ. PACKERS, VIWANDA VYA NGUO NA NYUZI, vimepotea akiwa ktk nafasi ya ushawishi. Sasa ndipo anakuja na taralira za kusema tatizo la ajira ni bomu linasubiri kupasuka! Rostam moja ya utajiri wake ni kugawiwa viwanda vile. Kwa bei aliyokuwa akinunua ilikuwa ni kugawiwa. Ilikuwa suala la muachie rafiki tutajuana huko ya safari. Ni mashoga