mtoa mada nilidhani utamuongelea huyo jamaa tumfahamu vizuri walilaje kwenye magunia utendaji wake ukoje kabla ya uteuzi wa nafasi hiyo na baada ya uteuzi, labda ubadilishe kichwa cha uzi au ulikuwa na haraka gani
na hiki ndicho kilichomfanya aandike uzi, ni kama wivu vile au chuki au..... hakumshauri wakati ananunua ila baada ya kumtokea mabaya naona jamaa anafuraaaaaahi.....hii ndio bongo yetu na ndo akili zetu
nia ilikuwa kuonesha kuwa tuna madini, lakini je ni dhahabu ndiyo tuliyonayo tanzania???/
kama tunayo madini mengi zaidi ya dhahabu, je yaoneshwe kwa rangi ipi???/
kwani bendera ni msaafu kwamba hamuwezi kurudi nyuma na kutengeneza upya,,, mbona swaziland wamebadili jina na kuwa........
bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.