kwa mujibu wa biblia hatupaswi kulipiza kisasi na wala kuhukumu,tuwaombee waliofanya hili tukio wakumbuke toba kwani hawajui watendalo, Rest in peace baba paroko mbele yako nyuma yetu-AMINA
aisee pole kijana kwa ninavyo wafahamu hapo udom hawawezi kukuelekeza cuz wapo against na CCM, labda fanya utafiti kwenye ofisi za chadema ndipo utapata support ya ukweli.
Leo ni kama siku ya pili hivi, tangu mbunge wetu Rostam ajivue gamba kutokana na kashifa za kuiingiza serikali loss kubwa mpaka nchi yetu kujulikana duniani kote kutokana na madeni mengi mpaka tunashindwa kuyalipa.Kwanza napenda kukupongeza Rostamu kwa uamuzi mzito na wenye busara wa kujivua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.