Recent content by SOGHOO

  1. SOGHOO

    Sio watumishi wa TRA tu wa kuchunguzwa, Trafiki na Uhamiaji nao wamo

    Mama ntilie wachunguzwe, wanatuwekea hamira kwenye ugali matokeo yake watu tunapungukiwa na nguvu za ...... halafu tunasinzia ofisini hasa sisi walinzi tukiwa kwenye lindo. Pili hawa watu wanatabia ya kupandisha bei ya chakula kiholela. Leo hii ugali kuku wa kienyeji ni elfu tatu mia tano wakati...
  2. SOGHOO

    Usafiri wa kwenda Posta Dar ni shida sana Leo

    kaka umeongea kwa ukali. haya nitaacha kufuga kitambi
  3. SOGHOO

    Kigogo wa CCM kortini kwa kulawiti wanawe

    Mbingu hutaiona wewe shemeji yake na mugabe
  4. SOGHOO

    Muuza Madawa ya Kulevya maarufu, Hussein Mafisi akamatwa

    Mafisi ni jina la mtu ? Kama ni jina la mtu ni la ukweli au utani ? Amepewa kutokana na hii kazi ya kutuharibia vijana wetu au ???
  5. SOGHOO

    Kashfa: Mradi wa nyumba 73 za ndugu Masamaki wa TRA

    Suala hapa sio kwamba hazifiki sabini. Hata kama zingekua sitini na tisa, masamaki angetoa wapi pesa za kujenga mradi mkubwa kama ule kwa mshahara wake ? Kumbuka nyumba ya bei ya chini NHC ni shs hamsini milioni. assume hizi za mheshimiwa masamaki ni za bei ya chini gharama yake ki rahisi...
  6. SOGHOO

    Raisi Magufuli alipaswa awe Paris leo hii!

    Kuna jipu pale wizara ya ADHI analifanyia taiming ? Ndani lina usaha wa njano na umeganda baada ya kuwapa watanzania maumivu ya muda mrefu.
  7. SOGHOO

    Mwananyamala kadi ya mgonjwa 3000?

    Kama mgonjwa anatozwa sh 3000, je asie mgonjwa atalipizwa kiasi gani ???? sisiemu mbele kwa mbele. na bado
  8. SOGHOO

    Fundi ujenzi anatafutwa

    piga 0719599906 0768599906
  9. SOGHOO

    Swali: Madhehebu ya wakristo

    Una uhakina na unacho kinena ????
  10. SOGHOO

    Mvua kubwa inaendelea kunyesha Geita

    Makubwa... siku hizi Geita pamekua mji. Na huo umeme umefika lini ? jamani long time sijapita mitaa ya huko. Si ajabu kutakua na gesti. Maana mtanzania akiona sehemu kuna gesti, stendi na umeme anaita mji.
  11. SOGHOO

    Nauli pendekezwa na wakala wa DART

    Chagua sisiem chagua maisha magumu. daladala tunapanda mia sita na lina piga ruti chavhe kwasababu ya foleni. sasa iweje wasio na foleni waongezewe nauli ????? Bora daladala mara mia.
  12. SOGHOO

    Tanzia: Padri Sixtus Kimaro afariki dunia

    Mimi napenda sana yale maneno ya CUF japo mimi ni CCM, wakisema nanihii,,,,,,,,,,,, chali, nyanganyanga, kifo cha mende ....mbende mbende
  13. SOGHOO

    Kuanzia leo natangaza kuwa na roho mbaya

    Nimegundua wewe ni rahisi sana kukuingia. Nasubiri usahau ndio nikuingie
  14. SOGHOO

    CCM ilihamisha mzoga ili kuondoa nzi!!

    Sera yao ni matusi, Mwaka huu watakula matusi
  15. SOGHOO

    Roho ya hofu imenijaa

    Wewe ni mee au K. ninawasiwasi na wewe. ningesema lakini hii sheria iliyoanza juzi inakataza. najua umenielewa.
Back
Top Bottom