So ni sawa kwa mkatoliki kuhudhuria ibada kwa Gwajima au TB Joshua?
na still akawa mkatoliki?
Charismatic ni chama cha kitume NDANI ya Kanisa Katoliki, kama vile UWAKA, WAWATA, VIWAWA, Legio Maria nk. Rejea swali la mleta mada; yeye anataka kujua ulokole NJE ya Kanisa Katoliki kama unaruhusiwaWalokole wakiKatoliki wapo wengi tu siku hizi. Wanaitwa KARISMATIC, wananena kwa lugha, wanakemea na kutoa mapepo, wanatoa na kupokea unabii nk. Ulokole ni kuamini WOKOVU na Nguvu za Roho Mtakatifu
Naomba tujihadhari na mihemko naomba kuuliza kuwa kujua tu niko curious.
Naomba wenye kukashifu mkae pembeni, lengo ni kuelimishana tu.
Swali langu ni hili;
Mtu anaweza kuwa mlokole na still Mkatoliki au Mlutheri?
Je, tunaweza sema mtu anasali kwa Gwajima au TB Joshua but still Mkatoliki au Mlutheri?
Je, Gwajima yeye binafsi anaweza kuwa Mkatoliki pia au Mlutheri?[/QUOTE
Sasa na mimi nikuulize swali....Ukisha sali kwa Gwajima ama TB Joshua huko Ukatolikini na Ulutherini utasali saa ngapi? Huoni kama automatically utakuwa umejiondoa huko Katolikini na au Ulutherini?
Jaribu kufikiri maana ya kuitwa wewe ni wa dhehebu fulani ni kwa sababu huwa unafanya ibada huko.......
Naomba tujihadhari na mihemko naomba kuuliza kuwa kujua tu niko curious.
Naomba wenye kukashifu mkae pembeni, lengo ni kuelimishana tu.
Swali langu ni hili;
Mtu anaweza kuwa mlokole na still Mkatoliki au Mlutheri?
Je, tunaweza sema mtu anasali kwa Gwajima au TB Joshua but still Mkatoliki au Mlutheri?
Je, Gwajima yeye binafsi anaweza kuwa Mkatoliki pia au Mlutheri?[/QUOTE
Sasa na mimi nikuulize swali....Ukisha sali kwa Gwajima ama TB Joshua huko Ukatolikini na Ulutherini utasali saa ngapi? Huoni kama automatically utakuwa umejiondoa huko Katolikini na au Ulutherini?
Jaribu kufikiri maana ya kuitwa wewe ni wa dhehebu fulani ni kwa sababu huwa unafanya ibada huko.......
Soma hapo juu
Makanisa yote ni biashara tu.
Makanisa yote ni biashara tu.
Naomba tujihadhari na mihemko naomba kuuliza kuwa kujua tu niko curious.
Naomba wenye kukashifu mkae pembeni, lengo ni kuelimishana tu.
Swali langu ni hili;
Mtu anaweza kuwa mlokole na still Mkatoliki au Mlutheri?
Je, tunaweza sema mtu anasali kwa Gwajima au TB Joshua but still Mkatoliki au Mlutheri?
Je, Gwajima yeye binafsi anaweza kuwa Mkatoliki pia au Mlutheri?[/QUOTE
Sasa na mimi nikuulize swali....Ukisha sali kwa Gwajima ama TB Joshua huko Ukatolikini na Ulutherini utasali saa ngapi? Huoni kama automatically utakuwa umejiondoa huko Katolikini na au Ulutherini?
Jaribu kufikiri maana ya kuitwa wewe ni wa dhehebu fulani ni kwa sababu huwa unafanya ibada huko.......
Mkuu kukujibu hilo tunapaswa kuwauliza Magufuli na Lowassa...
wakatoliki na walutheri lakini kwa TB Joshua wapo..kwa Gwajima na Fernandes wapo pia
The boss Huku ndio ulikotaka kutupeleka kwa maswali yako ?? Acheni mada za kuongelea udini ??
Wenye busara zao watakuja kukujibu acha Mimi niishie hapa kwa sababu ya updates nazotegemea kupata Jf ,vinginevyo ningepewa life Ban kwa kujibu ulichoandika hapa
Nijuavyo mimi sala za kanisa Katoliki ziko very structured. Mfano...Ibada ya Jumapili ambayo ni rasmi ni misa takatifu halafu inawezekana zikaendelezwa ibada nyingine. Anayeweza kufanya ibada ya misa ni lazima awe padri.
Gwajima au TB Joshua hawana sifa hizo za kufanya sala inayokubalika kwa wakatoliki...ni ngumu kuwa muumini wa sehemu nyingine na katoliki wakati ule ule
Swali langu ni la kisiasa zaidi
kuliko dini......mimi nimewaona Magufuli na Lowassa kwa TB Joshua
na Lowasa kwa Gwajima na Magufuli kwa Fernandes...najiuliza huwa wanaenda huko kisiasa?
kuvutia walokole kwenye kura?wao bado ni RC na KKT?
Sasa hapo ndo panashangaza
Gwajima anawaaminisha waumini wake Lowassa ni mlokole mwenzao
huku Lowassa akisema yeye ni mlutheri....kama ambavyo Fernandes anaweza sema Magufuli ni muumini wake
sababu anaendaga kanisani wakati Magufuli anasema yeye mkatoliki....huu mchanganyiko najiuliza ni siasa tu?
kwa TB Joshua wote walienda....
Makanisa yote ni biashara tu.
haya makanisa ya watu wanao jiita manabii,mitume, walioteuliwa, walokole, na kila mtu anaeanzisha kanisa na kusema ni la fulani nia yao ni moja tu kupata sadaka na kufanya mazingaombwe. Na trend ilianzia usa in the late fifties na sixties ukitizama vizuri hata muundo wa management yao ni kama kampuni binafsi final say iko kwa kiongozi(nabii,mtume, au mpakwa mafuta) wengine wote fuata nyuma. Chunguza kama hata siku moja wanaenda kutoa misaada ya kijamii vijijin kama waluther wakatoliki au waanglikan wao ni uje na sadaka tena nyingii tuuu unaumwa badala ya dawa unaambiwa tutakuombe mpaka upone. (na most of them walitoka kwenye makanisa mengine because kulikuwa na conflict of interest e.g. Mwing)
kuhusu swali lako ukishaanzisha kanisa lako umejitoa kwenye ulutheri na hata ukatoliki na hata anglikana sababu utakuwa ukipingana na taratibu zao za kuendesha makanisa yao.
Kuna watu wanahubiri na kutoa mafundisho ya dini mfano semina ,maombezi n.k. Lakini wanapata baraka kutoka kwa makanisa ambayo ni wafuasi mfano mwalimu mwakasege na wengineo
Sasa hapo ndo panashangaza
Gwajima anawaaminisha waumini wake Lowassa ni mlokole mwenzao
huku Lowassa akisema yeye ni mlutheri....kama ambavyo Fernandes anaweza sema Magufuli ni muumini wake
sababu anaendaga kanisani wakati Magufuli anasema yeye mkatoliki....huu mchanganyiko najiuliza ni siasa tu?
kwa TB Joshua wote walienda....