Tanzia: Padri Sixtus Kimaro afariki dunia

Tanzia: Padri Sixtus Kimaro afariki dunia

Hili gazeti lina waandishi wa hovyo sana..maneno yanajirudia rudia mantili hakuna..mxxxxx
 
Mazingira kama haya ndio yanayo walazimisha watu kujichukulia sheria mikononi!
 
Hatimaye haki imetendeka mbinguni

Ukute mwenzio yuko mbinguni...kapokelewa na malaika...huwezi jua alitubu...alijuta...alijilipiza makosa yake...sasa je wewe namimi huo mda tutapata wa kujitizama.na kutubu au tutakufa ghafla kabla ya kujiandaa
 
Baada ya sakakasi zote hatimaye hati ya mashitaka ya hukumu ya haki imemjilia...

Kifuatacho ni kuikabili mahakama ya haki, naye Hakimu Mkuu ni Mungu Baba...
 
Bado padri mmoja anayeoa NA kuacha NA kutelekeza watoto
 
ya lowassa ndo hiyo inayotaka kuwatoa masheikh waliomwagia Tindikali wenzao? kumtoa Babu seya? si yale yale sasa? hiki kweli kiini macho cha siasa
 
Kazi ipo...haya maandishi kumbe huwa hayafutiki
 
Huyo ile kesi yake ya kuharibu mtoto ilikwishaje?

Mambo ya walawi 20:13 "Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
 
Huyo ile kesi yake ya kuharibu mtoto ilikwishaje?

Mambo ya walawi 20:13 "Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
Maustadh wanaotuharibia watoto Madrasa ndio waliojaa Jela
 
Huyo ile kesi yake ya kuharibu mtoto ilikwishaje?

Mambo ya walawi 20:13 "Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

Hiyo dhambi hata shetani anakimbia
 
Back
Top Bottom