Mlango wa master na mlango wa girls room inatakiwa itofautiane, pili iyo corridor itakuwa giza muda mote paka mlango wa nyuma ufunguliwe,Au uwashe taa
kwenye design haitakiwi,
kila kitu kinatakiwa kijitegemed, Corridor inatakuwa full time iwe na mwanga wa asili wa jua,
Pili angalia direction...