Mlango wa master na mlango wa girls room inatakiwa itofautiane, pili iyo corridor itakuwa giza muda mote paka mlango wa nyuma ufunguliwe,Au uwashe taa
kwenye design haitakiwi,
kila kitu kinatakiwa kijitegemed, Corridor inatakuwa full time iwe na mwanga wa asili wa jua,
Pili angalia direction...
Its better ungetupa pia idadi ya vyumba nikusaidie kufanya estimation, kwani mafundi wengi wa mtaani ufunfi wanajua ila shida huwa kufanya estimation ya materials, siwalaumu sana kuhusu ilo inaweza kuwa ni isue ya
1.shule
2.kushindwa kujiongeza ili kuweza kuju
3.kupiga/kuiba materils
Roughly...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.