Recent content by sofina

  1. S

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, kuwahamishia wauza magari Kigamboni

    Hongera sana mkuu wa Mkoa,ni ubunifu mzuri unaopaswa kuigwa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU

    Hongera Jenerali Mbungo kwa kuaminiwa na kuteuliwa kushika nafasi hiyo nyeti nchini,Nakutakia kazi njema iliyojaa uadilifu na busara Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    kwa hakika hili ni somo zuri sana,Mola akitujaalia tukiendelea kupata masomo huenda baadae tukawa poa sana
  4. S

    ACACIA wapinga vikali Matokeo ya Kamati ya pili ya Rais

    Kuna watu wanajitoa ufahamu na kufuata mikumbo tu hata kwenye masuala ambayo yanagusa mpaka familia zao,kwa hili nampa BIGUP sana MAGU,hongera sana raisi wetu
  5. S

    ACACIA wapinga vikali Matokeo ya Kamati ya pili ya Rais

    Mola amuongezee ujasiri kiongozi wetu wa nchi haswa katika jambo hili kubwa na zito.kuna watu sijui ni utoto au uwehu unawasumbua;hata kama mtu ni mpinzani lakini kubali ukweli na tuwe na uzalendo na nchi yetu.
  6. S

    Kigogo huyu wa TRA; Habibu Mponezya na mkewe Neema Mponezya

    Jamani tuacheni majungu,huyu bwana anaonekana ni mtu safi. Kwani mtu kuwa na nyumba moja,Bakery na gari moja tena vitz,shida iko wapi. Tuacheni mambo ya wivu.
  7. S

    Ukiacha matumizi ya Mapambo, nini Kipo nyuma ya uthaman wa Dhahabu?

    Kwa mtazamu wangu ni kuwa thamani ya dhahabu ni kutoka kwa Mola muumba mbingu na ardhi na vilivyomo.Ndiyo maana utaona dhahabu imepewa thamani kuanzia kwenye vitabu vya dini,Sio binaadamu waliyoipa dhahabu thamani bali ni Muumba mwenyewe,sisi binaadamu tumekuta na kufuata tu.
  8. S

    Msaada doctor wa magonjwa ya moyo

    pole sana kwa kuuguza,kama ndugu yako anatumia NHIF sawa aende muhimbili,ila kama hatumii NHIF na muna uwezo kidogo wa ki-fedha nakushauri uende hospitali binafsi kwasababu utapata huduma nzuri na kwa haraka zaidi. Kuna hospitali moja inaitwa MOYO HEART CENTRE ipo kinondoni kwa BIAFRA jirani...
  9. S

    Jamaa yangu ameacha kazi mwenyewe TANESCO Kinyerezi kisa Rais Magufuli

    mtoa mada una ushahidi wowote juu ya hili unaloliongeaNaomba kama una ushahidi wowote uuweke wazi lolote cc wengine tulio na mashaka na ulichokiandika turidhike.maana watakuja wengine na kusema kuwa kuna marubani wengine wanaendesha ndege lakini wamesoma education,ili mradi tu kila mtu aandike...
  10. S

    Rais kwenda kuzindua kituo cha Azam TV siyo sahihi

    Hawo unaowaita wapinzani km itv,tbc n.k walimuita kwenye uzinduzi wao akawakatalia
  11. S

    Jakaya Mrisho Kikwete, Mungu atakulipa!

    Kwakweli jamaa amejitahidi snaa;eg kuna mambo yalitakiwa yafanywe na awamu zilizopita mfano shule za kata,barabara,maabara ktk shule zote za kata,chuo kikuu cha dodoma,hv n vitu ambavyo vilitakiwa vifanywe tokea awamu ya nyerere,lkn wote hawakuweza lkn yeye amethubutu,ameweza na anazidi kusonga...
  12. S

    GE2015 Ni vigumu sana kupata Rais mwenye sifa bora 2015

    Unatakiwa uwe na adabu katika maelezo yako co kuongea kama gasho
  13. S

    GE2015 Ni vigumu sana kupata Rais mwenye sifa bora 2015

    Hili jambo hata mm linaniumiza kichwa sana;kuna wakati nahisi hivi vyama vyote,ccm,cdm,cuf,nccr,n.k waungane pamoja ili wakiamua jambo la kitaifa liwe moja;lkn leo serikali ya ccm ikisema au ikifanya jambo ambalo hata km lina maslahi na taifa vilevile upinzani hakuna atakaemuunga mkono mwenzake...
  14. S

    New UN report pins Tanzania on FDLR militia

    Kuja tz au kuongea na watz haimaanishi kwamba serikali ya tz inawasaidia,kuna ushahidi gani unaothibitisha kuwa hii nchi inawasaidia
Back
Top Bottom