Justice minister
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 1,173
- 822
Army ni jeshi la nchi kavu. Kwa mfano US Amry, US Airforce, US Navy.Army.
Army ni jeshi la nchi kavu. Kwa mfano US Amry, US Airforce, US Navy.Army.
Swali military ni nini?Acha Maswali ya Kitoto,
Nimekupa mpaka mifano ya JWTZ na Jeshi letu la Polisi kutumia neno Forces tunapotamka kwa Kiingereza!
Tanzania People's defense forces na Tanzania Police Forces
Nilijua uelewa wako ni mdogo sana tangu awali Ndio sababu nikakufundisha kuwa Kamishna ni Cheo cha Kijeshi ukabisha kwa kuwa umekariri Jeshi ni JWTZ, pekee!
Nikakupa Mfano Mwingine kuwa Mkuu wa Majeshi yetu kwa Kiingereza ni Chief of Defence Forces itoshe kujua kuwa kuna Majeshi Mengi Ndio sababu anaitwa Mkuu wa Majeshi sio Mkuu wa Jeshi.
JF ni kisima cha Elimu naamini umeelimika Leo kuwa Jeshi Maana yake sio JWTZ pekee japo utakuwa ngumu kukiri!
kuna meja jeneral mmoja kamchagua Katibu Mkuu kwenye wizara nyeti hana msaada wowote zaidi ya kuwa mzigo tutatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Hujui Mamsuala ya kijeshi we mjinga wewe. Luteni wa jeshi aweza kuwa mkubwa kuliko mlowola sembuse brigedier?Kachochee maharage acha kuchangia usiyoyajuaBregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Katibu mkuu wizara ya maliasiri ana cheo gani? Mbona anafanya kazi na raia?Yaani burgedia jeneral anaenda kuwa chini ya mtu ambae ni cheo cha RPC tu,kiprotoko burigedia ni mtu mkubwa zaidi ya huyo boss wa pccb maana mlowa alikua kamishina msaidizi wa polisi.Hapa uteuzi huu haujakaa vema
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unafikiri TAKUKURU kuna vita.Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Hakuna cha mishahara miwili hapo, atafanyia kazi alipopewa teuzi lakini atalipwa sehemu moja tu, labda kama kuna posho kwenye huo uteuzi ndio atakuwa anakula.Hapo jamaa naona analamba mishahara miwili kwa mpigo,Watu na bahati zao
kwenye taasisi ya upelelezi hauhitaji ujasusi, unahitaji knowledge ya upelelezi wa makosa ya jinai wa kitaaluma. sio ujasusi wa kijeshi, hapo takukuru kuna hadi waalumu, wanachunguza waalimu, wahasibu, wanachunguza wahasibu, wachunguzi wapo wa aina nyingi, hivyo ni taasisi isiyohitaji mtu anayetumia manguvu (jeshi) bali ujuzi wa akili kumkichwa, unaijua takukuru lakini? ndo maana wanafanya kazi hata luck up ya kuweka mahabusu wanaowakamata hawana, ni kwasababu ni taasisi inayotakiwa kutumia akili sio nguvu. upo hapo?
Unaposema brigedia au brigedia jenerali elewa ni cheo kimojaUzuri wa Mijadala kama hii haihitaji Matusi wala Kshfa kama kweli unataka kuelimishwa sio kubisha!
Mie nimezungumzia Bregadia Generali nawe ukaja kuandika Bregadia ukidhani ni cheo kimoja au Bregadia Jeneral kifupi chake ni Bregadia,
Labda nikupe Formula rahisi tu, siku nyingine kukiwa na dhifa ya Kitaifa Ikulu ( AU POPOTE) tazama wanavyokaa Askari wa Majeshi yetu kwa Protocal ndio utajua Kamishna wa Jeshi la Polisi na Bregadia generali wa JWTZ yupi ni Mkubwa
Unajua kuwa ASP wa Jeshi la Polisi akikutana Luteni wa JWTZ basi luteni anapiga Salute?
Huyu itakuwa amemaanisha deputy commissioner na CommissionerFull kamishna ndio cheo gani cha kijeshi? unavijua vyeo vya kijeshi wewe?
Swali military ni nini?
Hujui unachokiandika.JWT= Jeshi la Wananchi wa Tanganyika
JWTZ= Jeshi la Wananchi wa Tanzania
Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Kicheo sawa, tatizo lipo kwenye madaraka na utendaji.Sawa kivipi, uzito wa mwili, kijinsia au umri? fafanua
Watanzania wengi uelewa wetu katika masuala mbalimbali ya kitaalumu ni mdogoMwalimu anakuwa mwanafunzi wa mwafunzi wake!
Si poa kiuhalisia!
Naona umeshindwa kuona logic ya comment yangu.Watanzania wengi uelewa wetu katika masuala mbalimbali ya kitaalumu ni mdogo
Tunaokoteleza stori mitaani mwisho wa siku mtu anakomalia kitu utadhani ana uhakika nacho bila kujua kuwa watu wanaoelewa wanamchila tu.
Munawezaje kumshusha mtu aliyebobea katika utumishi katika taasisi inayoshughulikia upelelezi wa makosa ya jinai na kumkweza ambaye kazi zake hazihusiani na jinai
Mlowola amebobea katika upelelezi wa masuala ya wizi wa fedha na kughushi na ni wasomi wachache waliopata kozi za namna hiyo nje ya nchi katika majeshi yetu na wengi wao wa kizazi cha Mlowola walitoka polisi, maana wakati huo Takukuru walikuwa ni kitengo ndani ya polisi.
Nani awe juu ya nani kwangu mimi si suala la kuzingatia, la kuzingatia nani mwenye sifa za kiueledi za kuongoza TAKUKURU kama yalivyo majukumu ya taasisi hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugwe jo isobi uje bu buubo nu bukonyofu gwako