Umofia kwenu.
Kama kichwa kinavyojieleza. Naombeni msaada wa kuujua huu wimbo. Kwa maana nimetafuta jina lake kwa muda mrefu bila mafanikio. Nayakumbuka baadhi tu ya mashahiri. Haya hapa[emoji116]
Busara si kipaji lazima ununue
Uwe kijana hata mzee katika maisha,
Uwe na busara
Uwe kijana hata...
We jamaa kinyesi kweli!! Ulidakia mada ya korosho, saizi tena unafurahia wenzako kuwekwa segerea. Sijawahi ona mnyakyusa pimbi kama wewe. Yaani wewe ndio wale vibaka msiokuwa na mbele wala nyuma mmejazwa humu mitandaoni ili kupuliza filimbi tu na kulipwa buku 7. Sikujua kama ni kibaka wa Lumumba...
Acha propaganda wewe. Mimi nina tani moja na robo, shamba langu lipo Nachunyu, lakini hadi leo sijaingiziwa pesa. Sidhani kama wewe hata shamba unalo. Hebu tuwe serious na vitu vya msingi, tusipende kukejeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga ndugu. Mwenzako kaeleza masikitiko na maoni yake unadandia kuwa wa kangomba. Mbona mnapenda kuishi kwa kukariri? Hebu tuliza kalio zako, sio lazima uchangie kwasababu halikuhusu wala halijakukuta. Kaa kimya!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti wao anajificha kwenye kivuli cha ukali, lakini ndiye fisadi mkuu. Sijui hawa vijana kama wana akili timamu? Hawaeleweki zaidi ya kujali matumbo yao. Wapo radhi kuona Taifa likizama shimoni lakini wao hawajali. Hawawezi kuwa upande wa CAG kwakuwa hana vifaru, majeshi, na wala hatoi...
Sijawahi kuona spika mnafiki kama huyu. Yupo tayari kuona Taifa likiangamia ili tu kulinda kibarua chake. Historia itamkumbuka kwa mabaya yake ya kulihujumu Taifa na Katiba yetu. Hatufai huyu! Hatufai! Hatufai! Na hatufai kabisaa! Ni msaliti wa Taifa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao sio wafanyakazi, ni vibaka- vijimama na bijibaba vya Lumumba vimevaa uhusika wa wa kifanyakazi ili kuiunga kiki ya Jiwe aliyojitafutia jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.