Binafsi msimamo wangu ni kuwa mtoto atasoma shule ya umbali wa kwenda kwa mguu
Na ikitokea kuna ulazima sana wa kusoma mbali basi mimi ndio nitahama kuifata shule ilipo nisimchoshe mtoto
Nakumbuka miaka flani hivi aliitwa kwenye Live interview EATV kila ijumaa mchana walikuwa na segment ya kuwapa airtime wasanii wa zamani
Jamaa alikuja amelewa chakari ilikuwa aibu anaongea ovyo mpaka watangazaji wakaomba radhi na wakakatisha interview yenyewe.
Yote tisa kijana una dharau na majivuno sana
Ulivyomuelezea huyo binti ni kama vile wewe ndiye uliyemzalisha unataka kumkomoa kumchukua mtoto maana unaona hiyo elfu 20 unayotuma kila mwezi kama milioni
Kitakacho kukuta utabambikiwa huko nje mchana kweupee
Nyie ndio mpaka leo mnasema mtoto wa kike harithi.
Kuzeeka ndio utakuja kuelewa watoto wa kike ndio wanaolea wazazi wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.