Kitakacho kukuta utabambikiwa huko nje mchana kweupee
Nyie ndio mpaka leo mnasema mtoto wa kike harithi.
Kuzeeka ndio utakuja kuelewa watoto wa kike ndio wanaolea wazazi wao
Kajielimishe zaidi kijana hiyo ni tamaduni ipo India na Pakistan wala haina uhusiano na dini
Na kikubwa kinachowafanya wafanye hayo ni gharama kubwa sana za kuozesha watoto wa kike kwasababu wao ndio wanaotoa mahari kuwapa familia ya wanaume.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.