unampangisha mtu nyumba ya milion 70 kwa dhamana ya mwezi ya 400,000. ukikuta kaondoka na bati zote asubuhi yake??
serikali wajenge zao ndo waweke hiyo sheria.
Hawa watu wakiwa serious, kukukamata inawezekana vizuri tu.na vile vile wewe ukiwa serious,kukukamata itakuwa sheedah...uhuru wa habari unaweza lindwa na apps and site developers...
rrondo nakuunga mkono..kuwa v8 or v6 cyo sababu ya moja kwa moja..kuna additional accessories engine tuneups zinaweza fanya hata gari ya cylinder nne kuwa balaa kuliko v8...cheki nissan gtr35 a v6 car ila hamna v8 toyota ya kuisumbua kwenye normal road
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.