Moro wamekata umeme

Moro wamekata umeme

P.MASHINE

Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
55
Reaction score
7
Umeme umekatika wakuu sijajua kama hadi saa9 utakua umerudi kama bado mtujuze yanayojiri kwenye mkutano wa ufunguzi ACT Tanzania wazalendo.
 
Itakuwa CDM wamewapa rushwa Tanesco ili waihujumu Alliance of CCM and Traitors. Sio bure!
 
Huku kukatika katika hovyo kwa umeme,ni mgao au umafia kwa watz!?
 
Umeme umekatika wakuu sijajua kama hadi saa9 utakua umerudi kama bado mtujuze yanayojiri kwenye mkutano wa ufunguzi ACT Tanzania wazalendo.

Hata huku Dar wamekata

Huku Tanga pia wamekata

Hata zenji hakuna moto kabisa!

wamekata sehemu kubwa ya nchi dodoma irnga mbeya singida tabora

Arusha pia

Kisa!? Uzinduzi wa ACT Tanzania /Wazalendo 👎👎👎mengine tuoneane huruma jamani
 
Nilifikiri ni kwetu tu ndiyo wamekata, kumbe ni maeneo mengi (Dar, Tanga, Mara, Arusha, Dodoma, Iringa, Mbeya, Singida na Tabora). Basi labda grid ya taifa imetema, au kilio cha akina Yona, Muhongo, Ngeleja na Msabaha vinaisumbua Tanesco!! Tanesco isingefika hapa ilipo kama Prof Kapuya (Waziri wa Kazi enzi zile) asingewaingiza Net Solution pale Tanesco kwa nguvu ya polisi na ndipo hao Net Solution wakachangia kuporomoka kwa Tanesco; just like Mramba kuwaleta South African Airweays ili wasaidie kuua ATC, na sasa wembe umegeuzwa Fast Jet inaiua Preceision Air na inamuathiri hata Mramba mwenyewe (hii inaitwa boomrang effect).
 
Kigamboni hapa, washafanya yao moto haupo
 
Tuna matatizo katika grid yetu ya taifa,wataalamu wetu wanajitahidi kushughulikia ili turudi katika huduma haraka inavyowezekana..Samahani kwa usumbufu wote uliojitokeza.
 
Back
Top Bottom