Recent content by snipers

  1. snipers

    Zitto: Serikali imenyimwa misaada na wafadhili wote wa nje! Bajeti ya trilioni 29.5 ni ndoto

    Tuache kumjadili zitto hapa tujadili maneno na data alizoweka hapo jee zina ukweli wowote? najua JF wapo watu wa uchumi hapa nadhani ni vizuri tukaweka siasa za vyama pembeni na tujaribu kujadili hili kwa kina.
  2. snipers

    Kagera, tubebe msalaba wetu wa tetemeko, njaa, UKIMWI mpaka kwenye sanduku la kura mwaka 2020!

    Wana Kagera mkiamua mnaweza, hata Pemba kuna vijiji vingi tu na watu hawana hata radio lakini ikifika uchaguzi ni kama mnavyojua wapemba huwa hawakuangalii usoni. Kagera mnaweza, inawezakana sizonje akaendelea kukaa pale ila ubunge, serikali za mitaa na mambo mengine mkanyanganya, mnaweza kama...
  3. snipers

    Sifa kuu ya Kiongozi yoyote ni Hekima na Busara

    Mkuu mtoa mada kwanza kabisa ujue Hekima ama Busara ni maneno machache lakini yenye maana kubwa. Ndio maana Mitume wote wateule wa Mungu, Mungu baada ya kuwaumba aliwapa hekima kubwa sana. Ndio sifa ya kiongozi kuwa na hekima, sababu Mungu mwenyewe anatumia hio hekima. Mungu baada ya kuona...
  4. snipers

    CUF yaiachia CHADEMA kata zote uchaguzi mdogo

    Mkuu na wewe umekuwa mwana CUF leo!!!!!
  5. snipers

    Mange achoma moto kadi ya CCM live

    Muite Mange utakavyomuita account yake ya instagram ako na followers zaidi ya laki saba na thelathini amewashawishi wenye kadi za ccm wachome moto na sasa hivi wamemuitikia sana wanazichoma na kupost video nyingi sana. Kadi za CCM sasa zinateketea kama ubani unavyoteketea kwenye chetezo.
  6. snipers

    Ushauri naombeni msaada

    fanya maamuzi magumu kabla hajaendelea kukutumbua zaidi, huyo anachukua laki na nusu kwako anaenda kumpa mwanaume mwenzio na miguu anamtanulia. Piga chini harakaaaa
  7. snipers

    Ushauri unahitajika, mambo yamenifika shingoni

    Mkuu Nyani Ngabu punguza munkari mkuu wa kazi, nimeona for the past two weeks humu jf mabandiko yako yanaashiria hauko sawa mkuu, kwa sisi marafiki zako tunao kujua humu JF tunajua tu haupo sawa punguza munkari.
  8. snipers

    Beach nzuri

    mtafute mtu anaitwa bujibuji humu jf huyu jamaa ni mtaalamu sana wa beach
  9. snipers

    Mange achoma moto kadi ya CCM live

    Nimekuwa nikimfatilia Mange miaka 2 sasa, ni mwanamke ambae naweza kusema umagharibi umemuathiri sana anapenda sana bifu na wanawake wenzake ingawa akiombwa radhi haraka huamua kuachana na bifu hizo kimya kimya, ni muwazi kupitiliza anaweza hata kuelelzea aina na rangi ya nguo ya ndani aliyovaa...
  10. snipers

    Kwa waliozoea vya kunyonga, kwa Maxence Melo wamegusa nyaya!

    Unajua watu wengi sana wamepata kazi kupitia JF, watu wengi sana tena sana wamepata matibabu husika kwa madaktari husika kupitia JF, wapo watu hata mimi ninawajua kadhaa wamepata mikopo yenye riba nafuu chanzo ikiwa ni JF, sikwambii wenye kununua bidhaa kama magari, simu, mashamba, nyumba na...
  11. snipers

    Kweli Magufuli anataka kuifufua ATCL, ila hii "kachumbari ya ndege" anazonunua inatia mashaka

    Thegame si busara kwa mtu kama huyu barafu ambae ametoa ufafanuzi kama huu kumwita mtabiri. Ameeleza vizuri tu hatari iliyopo pindi tukikosa kitu kinaitwa "Fleet Commonality" kwenye shirika letu, kumbuka fedha iliyonunua na itayonunua hizo ndege ni fedha zetu mimi na wewe na Watanzania wengine...
  12. snipers

    Ushawahi kufanya mapenzi ukiwa umelewa? Tusimulie..

    Thread hii na sikukuu hizi najua itafika mbali nyuzi 30 na zaidi, tatizo sikukuu ya mwaka huu watu hawana hela tu
  13. snipers

    Othman Masoud Aliekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aula kimataifa

    Mkuu ni kweli maana hata Nyerere hakuwahi kuitwa Dr. ama Professor na aliifanyia nchi hii makubwa.
  14. snipers

    Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Kulikoni Siku hizi Tambo zimeisha?

    aliwahi kusema akiwaambia wafuasi wa ccm kuhusu UAMSHO "wenzenu wako bara huko hivi sasa wananyea kwenye ndoo"
  15. snipers

    Bodi ya ATCL yaivunja Menejimenti ya Shirika hilo

    Automata ninakuunga mkono kwenye hili badiko lako. Lakini ATCL wanatakiwa waangalie pia kwa sasa ni nini kinafanikisha biashara za ndege na kwa kiwango gani. Usikute hata hao wataobaki bado watakuwa mzigo kwa kufanya kazi kwa woga na kufuata akili za fulani baada ya kufata akili zao na ufahamu...
Back
Top Bottom