Tuache kumjadili zitto hapa tujadili maneno na data alizoweka hapo jee zina ukweli wowote? najua JF wapo watu wa uchumi hapa nadhani ni vizuri tukaweka siasa za vyama pembeni na tujaribu kujadili hili kwa kina.
Wana Kagera mkiamua mnaweza, hata Pemba kuna vijiji vingi tu na watu hawana hata radio lakini ikifika uchaguzi ni kama mnavyojua wapemba huwa hawakuangalii usoni. Kagera mnaweza, inawezakana sizonje akaendelea kukaa pale ila ubunge, serikali za mitaa na mambo mengine mkanyanganya, mnaweza kama...
Mkuu mtoa mada kwanza kabisa ujue Hekima ama Busara ni maneno machache lakini yenye maana kubwa. Ndio maana Mitume wote wateule wa Mungu, Mungu baada ya kuwaumba aliwapa hekima kubwa sana. Ndio sifa ya kiongozi kuwa na hekima, sababu Mungu mwenyewe anatumia hio hekima. Mungu baada ya kuona...
Muite Mange utakavyomuita account yake ya instagram ako na followers zaidi ya laki saba na thelathini amewashawishi wenye kadi za ccm wachome moto na sasa hivi wamemuitikia sana wanazichoma na kupost video nyingi sana. Kadi za CCM sasa zinateketea kama ubani unavyoteketea kwenye chetezo.
fanya maamuzi magumu kabla hajaendelea kukutumbua zaidi, huyo anachukua laki na nusu kwako anaenda kumpa mwanaume mwenzio na miguu anamtanulia. Piga chini harakaaaa
Mkuu Nyani Ngabu punguza munkari mkuu wa kazi, nimeona for the past two weeks humu jf mabandiko yako yanaashiria hauko sawa mkuu, kwa sisi marafiki zako tunao kujua humu JF tunajua tu haupo sawa punguza munkari.
Nimekuwa nikimfatilia Mange miaka 2 sasa, ni mwanamke ambae naweza kusema umagharibi umemuathiri sana anapenda sana bifu na wanawake wenzake ingawa akiombwa radhi haraka huamua kuachana na bifu hizo kimya kimya, ni muwazi kupitiliza anaweza hata kuelelzea aina na rangi ya nguo ya ndani aliyovaa...
Unajua watu wengi sana wamepata kazi kupitia JF, watu wengi sana tena sana wamepata matibabu husika kwa madaktari husika kupitia JF, wapo watu hata mimi ninawajua kadhaa wamepata mikopo yenye riba nafuu chanzo ikiwa ni JF, sikwambii wenye kununua bidhaa kama magari, simu, mashamba, nyumba na...
Thegame si busara kwa mtu kama huyu barafu ambae ametoa ufafanuzi kama huu kumwita mtabiri. Ameeleza vizuri tu hatari iliyopo pindi tukikosa kitu kinaitwa "Fleet Commonality" kwenye shirika letu, kumbuka fedha iliyonunua na itayonunua hizo ndege ni fedha zetu mimi na wewe na Watanzania wengine...
Automata ninakuunga mkono kwenye hili badiko lako. Lakini ATCL wanatakiwa waangalie pia kwa sasa ni nini kinafanikisha biashara za ndege na kwa kiwango gani. Usikute hata hao wataobaki bado watakuwa mzigo kwa kufanya kazi kwa woga na kufuata akili za fulani baada ya kufata akili zao na ufahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.