Hiyo ni CUF Lipumba itabidi CCM wamuandalie fungu la kampeni maana hana ruzuku.Mbona maeneo mengine cuf wamesimamishaa
Hiyo ni CUF Lipumba itabidi CCM wamuandalie fungu la kampeni maana hana ruzuku.Mbona maeneo mengine cuf wamesimamishaa
Watu wengi wa maeneo ya pwani hawajaenda shule na pia kitendo cha kumshabikia Lipumba ni cha kijinga na kinamhitaji zaidi mtu asiye na shule kichwani, cjajua hapo ww kwa nn unashindwa kuunganisha dots wakat haihitaj akil nying kuelewa. KUWA MUWAZ KWAN WW UNATAKA KUSEMAJE KWENYE HII POINT YANGU?Usizunguke sema hao vilaza, usifiche kwa kutaja mikoa ya Pwani.
Kwa hiyo akina Lipumba ndio watasimamisha wagombea ?
Wata foji Signature ya Maalim Seif katika form za Wagombea sio ?
Ulimsikia mkurugenzi wa NEC alivyosema? Kutokana na mgogoro huo kila mgombea lazima aidhinishwe na pande zote mbili hivyo hao watakao pendekezwa na kundi la Lipumba watapata wapi sahihi ya upande wa pili? Hapo tayari wamechemsha.
Namwonea huruma sana Sakaya kwa kuharibu future yake kisiasa baada ya kumfuata Lipumba anayefahamika wazi kuwa anatumika na ccm ambayo nayo inafutika
Sio lazima, kama wanaona katika kata hizo hawakubaliki, au hawawezi kupata mgombea mwenye ushawishi!Mbatia (NCCR) naye kwa nini asisimamishe mgombea kwa baadhi ya hiz kata?!
Watu wengi wa maeneo ya pwani hawajaenda shule na pia kitendo cha kumshabikia Lipumba ni cha kijinga na kinamhitaji zaidi mtu asiye na shule kichwani, cjajua hapo ww kwa nn unashindwa kuunganisha dots wakat haihitaj akil nying kuelewa. KUWA MUWAZ KWAN WW UNATAKA KUSEMAJE KWENYE HII POINT YANGU?
Naona akili yako na majibu yako umekodisha je akili yako utarudishiwa lini? Hv mpinzani unakuwa na akilili ya kukodisha pole mkuu acha kutumika ila tumikia nchi yako kwa manufaa ya wengiHayakuhusu wewe haya Fanya yako
Nimekodosha akili yangu kubwa ili watu wengine waitumieNaona akili yako na majibu yako umekodisha je akili yako utarudishiwa lini? Hv mpinzani unakuwa na akilili ya kukodisha pole mkuu acha kutumika ila tumikia nchi yako kwa manufaa ya wengi
Mkuu wangu kuna wakati weka chama chako pembeni ndo ufikirie utapata majibu ila ukiwa ndani ya chama huwezi kufikiria zaidi ya kukitetea chama chakoNimekodosha akili yangu kubwa ili watu wengine waitumie
CUF inayotambuliwa ni ya mwenyekiti Lipumba hiyo ya akinqa MKETO nA Seif ni CUF koko.Hitambuliwi.WAtasemaje hawajasimamisha wagombea watu ambao hawatambuliwi na msajili.Mketo alitakiwa aseme hatujasimamisha sababu ni wanaharamu hatutambuliwi.
We Mpuuzi kweli kweli yani.Mkuu wangu kuna wakati weka chama chako pembeni ndo ufikirie utapata majibu ila ukiwa ndani ya chama huwezi kufikiria zaidi ya kukitetea chama chako
Shukuru hata Huyu mpuuzi amekwambia ukweli wewe mjanjaWe Mpuuzi kweli kweli yani.
Uchama gani hapa nimeonesha ?
Cuf ya lipumba ikipata hata kata moja basi ntaamin kweli ye mwenyekiti.
Hujielewi weweShukuru hata Huyu mpuuzi amekwambia ukweli wewe mjanja
CUF inayotambuliwa ni ya mwenyekiti Lipumba hiyo ya akinqa MKETO nA Seif ni CUF koko.Hitambuliwi.WAtasemaje hawajasimamisha wagombea watu ambao hawatambuliwi na msajili.Mketo alitakiwa aseme hatujasimamisha sababu ni wanaharamu hatutambuliwi.