miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
pole mkuu .. kama unaona anaweza rekebishika msamehe ila mmh me sipendi ujinga kwenye pesa aisee
haina nukuta lakini inasomeka we nyani vipi au unahasira zako naweweAisee!
Uandishi gani sasa huo?
Hakuna koma, hakuna nukta, haijulikani sentensi imeanzia wapi na imeishia wapi....
Tuna majanga mengi mno nchi hii!
yaani mkuu acha kabisa tatizo kubwa ni mbishi natamani kumdunda ila naogopa sheriapole mkuu .. kama unaona anaweza rekebishika msamehe ila mmh me sipendi ujinga kwenye pesa aisee
usimpige kama haelewi mpotezeee tu ,, lea watotoyaani mkuu acha kabisa tatizo kubwa ni mbishi natamani kumdunda ila naogopa sheria
Huu uandishi ni wa Aina yake. Yaana nmeona alama ya Mkato moja Tuu.Habari wanajamii mm ni mme wa mke mmoja na watoto watatu nimeoa mwaka 2000 hali ya maisha haikuwa nzuri kimapato nilijifunza mgambo mwaka 2000 mwaka 2004 nikaanza kazi ya ulinzi kampuni moja 2005 nikahamia nyingine tatizo langu mke wangu amekuwa na matumizi mabaya sana ,tumejenga nyumba1 kinachofanya nilete hii threed ni kwamba wakati nafanya kazi nilikuwa naweka ppf na ilipofika mwaka jana nilichukuwa fao langu la kujitoa kama 3milion nikapeleka kwa mke wangu tuzifanyie biashara ya kukopesha nilimpa 2milion kulingana na utaratibu wa kazi tunaishi mikoa tofauti tulihamia mkoa mwingine sasa mwaka 2015 nikarudishwa mkoani kwetu wife na watoto wakabaki mkoa ule ambako nilikuwa awali nilikuwa karibu sana nao kwa matumizi ya msingi yote kuanzia mavazi chakula na mahitaji mengine ya nyumbani na shuleni tulipokopesha hizo 2milion nikamwambia malejesho apeleke bank lakini kinyume chake akawa anasema hajalipwa nilipofuatilia wateja wamelipa wote na hela ametumia zote nilipo fuatilia zaidi nikakuta amekopa madeni kwa watu binafs finca brack kiasi cha madeni yote siyo chini ya milioni moja na riba inaendelea na alipokuwa anakopa alikuwa anasema hana mme kwamba tulishatengana alijaribu kujiua ikashindikana sasa yupo nyumbani na hali yetu siyo nzuri siku nyingine tunakosa hata chakula na matumizi mengine amekuwa mharibifu wa fedha matumizi yake siyo mazuri vyombo vya ndani kama kochi ameuza na vilivyopo ndani ameweka lehani wenye mikopo walipotaka kushika niliweka pingamizi mambo ni mengi nimedonoa kiasi naombeni ushauri jamani naishi maisha magumu kazi ya kulala njee nimechoka(ulinzi)
Mbona amejieleza kuwa yeye ni mamboAisee!
Uandishi gani sasa huo?
Hakuna koma, hakuna nukta, haijulikani sentensi imeanzia wapi na imeishia wapi....
Tuna majanga mengi mno nchi hii!
Aisee!
Uandishi gani sasa huo?
Hakuna koma, hakuna nukta, haijulikani sentensi imeanzia wapi na imeishia wapi....
Tuna majanga mengi mno nchi hii!
Binafsi nakushauri usithubutu kumwacha, jaribu kuwashirikisha ndugu Wa pande zote mbili niimani yangu mambo yatakaa saw a. Kikubwa usiache kupiga magoti kwa BWANA kuomba awape kibali cha amani na furaha katika ndoa yenu,Mungu ni mwema na mwaminifu hatokuacha katika hili lengo la shetani ni kuona ndoa yenu imevunjika . Kwa imani ya kikristo uwezi kumuacha mke kwa sababu yoyote ile isipokuwa kwa habari ya uasherati ( math 19:7-9). UbarikiweHabari wanajamii mm ni mme wa mke mmoja na watoto watatu nimeoa mwaka 2000 hali ya maisha haikuwa nzuri kimapato nilijifunza mgambo mwaka 2000 mwaka 2004 nikaanza kazi ya ulinzi kampuni moja 2005 nikahamia nyingine tatizo langu mke wangu amekuwa na matumizi mabaya sana ,tumejenga nyumba1 kinachofanya nilete hii threed ni kwamba wakati nafanya kazi nilikuwa naweka ppf na ilipofika mwaka jana nilichukuwa fao langu la kujitoa kama 3milion nikapeleka kwa mke wangu tuzifanyie biashara ya kukopesha nilimpa 2milion kulingana na utaratibu wa kazi tunaishi mikoa tofauti tulihamia mkoa mwingine sasa mwaka 2015 nikarudishwa mkoani kwetu wife na watoto wakabaki mkoa ule ambako nilikuwa awali nilikuwa karibu sana nao kwa matumizi ya msingi yote kuanzia mavazi chakula na mahitaji mengine ya nyumbani na shuleni tulipokopesha hizo 2milion nikamwambia malejesho apeleke bank lakini kinyume chake akawa anasema hajalipwa nilipofuatilia wateja wamelipa wote na hela ametumia zote nilipo fuatilia zaidi nikakuta amekopa madeni kwa watu binafs finca brack kiasi cha madeni yote siyo chini ya milioni moja na riba inaendelea na alipokuwa anakopa alikuwa anasema hana mme kwamba tulishatengana alijaribu kujiua ikashindikana sasa yupo nyumbani na hali yetu siyo nzuri siku nyingine tunakosa hata chakula na matumizi mengine amekuwa mharibifu wa fedha matumizi yake siyo mazuri vyombo vya ndani kama kochi ameuza na vilivyopo ndani ameweka lehani wenye mikopo walipotaka kushika niliweka pingamizi mambo ni mengi nimedonoa kiasi naombeni ushauri jamani naishi maisha magumu kazi ya kulala njee nimechoka(ulinzi)
Hakika mke mwema hutoka kwa bwana
Jipange upya huku ukiweka mipaka ya matumizi
MPE talaka
Kinacho hitajika nikuelewa alicho andika.Aisee!
Uandishi gani sasa huo?
Hakuna koma, hakuna nukta, haijulikani sentensi imeanzia wapi na imeishia wapi....
Tuna majanga mengi mno nchi hii!
Kama huna ushauri ni bora kukaa kimya.Mlipopeana hizo pesa ulikuja humu kutaka ushauri?
Kama huna ushauri ni bora kukaa kimya.