Dr unaweza kutupa vigezo na jinsi ya kupata scholarship c lazima huko Amsterdam nilikuwa na malengo ya kusoma nje Cku moja ila cjui naweza kupata VP scholarship kwa anaejua kutoa elimu hii asaidie
Na mi pia ni mwanafunzi nimemaliza mwakahuu 4m 6 nimekosa point moja pcm kama Huyo nasoma kozi ya afya kutokana na ushauri diploma ya ufundi nackia ni shida upande wa ajira na kuna ugumu kidogo biology niliiacha tangu 4m 2 we unasoma nn diploma??? oyy mkuu toa namba tuongee zaid tupeane ushauri...
Optometry Kwa anaeijua kozi hii na kazi zake na chuo kinachotoa nilisikia KCMC inatoa.
Vipi wakuu inafaa kusoma kuna mdogo wangu anataka kusoma hatojutia?
Naomba nimuulize mtoa thread umeshawishika nn kusoma diploma afya wakati umemaliza degree naomba nidokeze maana nilikuwa nataka kusoma IT au unaongeza CV tu????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.