hiyo hesabu ya 1+1=1 katika ndoa ilikuwa ya zamani sana enzi za babu zetu,lakini kizazi cha sasa kinatamani ata isiwepo. kila mtu na namna yake yakuishi si mume wala mke anyethamini uwepo wa mwenzie ktk maisha yake. ubinafsi mwingi na kila mmoja anaangalia atavyofaidika yeye binafsi na si wote...
unamtafutia wapi wakati yupo dom? nenda kule na usimame karibu na lango kuu la kuingilia mjengoni, utamuona na umwambie yanayokusibu. we mwanaume bana hacha woga!!
hacha uvivu ndugu mshughulishe mkeo mpaka aridhike na husijaribu kumkwepa kwa visingizio vyovyote vile maana akitoka tu nje utakuja kujuta,na uku nje kuna watu wanapiga mzigo balaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.