Recent content by Snake Boy

  1. Snake Boy

    Azzan Zungu ataka uwepo wa kodi ya uzalendo itakayokatwa kwenye Mitandao ya simu kwa kila Mtanzania

    Kama kuna mtu alimpgia kura huyu jamaa na yupo humu JF atuache akatafute kazi nyingine ya kufanya[emoji847][emoji847]
  2. Snake Boy

    PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022

    Wangeupdate feasibility study tungejiridha maan hapa tulipo kama tunabet
  3. Snake Boy

    PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022

    Itazalisha umeme lakn tuna mashaka na life span yake
  4. Snake Boy

    PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022

    sawa wataweka electrical generating system ya hivi sasa lakn mabadiliko ya tabia nchi tangu kipindi hicho mpaka hv sasa ni bora wangeacha tu ile Hifadhi ya Selous kuliko kuiharibu bureee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. Snake Boy

    Wako wapi wafuasi kindakindaki wa Magufuli?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Snake Boy

    PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022

    Hatukatai kama kitu kinasimama ila miaka mingi imekatika kila kitu kimebadilika wangefanya uchambuz upya hali ya hewa imebadilika cdhan kama kuna mvua za kutosha kama miaka hyooo
  7. Snake Boy

    PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022

    Miaka ya 70 hali ya hewa ya nchi sidhani kama ni sawa na sasa technology imebadlka sana umeme wenyewe wa kutegemea maji ya msimu ila ngoja tuone mwisho wakeee
  8. Snake Boy

    Wako wapi wafuasi kindakindaki wa Magufuli?

    Nawasalimu kwa jina la CAG muitikie Tumepigwa sana
  9. Snake Boy

    PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022

    Shida sio kuisha lini, Tatizo kutumia feasibility study ya miaka 70[emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Snake Boy

    Kuna Video iliyokuwa ikionesha Polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori. Polisi wadai amekufa kwa homa ya mapafu

    Mambo kama haya wangefanya Askari wa kizungu kwa mtu mweusi kila mtu angeandika BLACK LIVES MATTER lakini tumefanyiana wenyewe kwa wenyewe tunachukulia kawaida sana tuacheni unafiki
  11. Snake Boy

    Napataje form ya maombi ya chuo cha DIT?

    Ingia website yao www.dit.ac.tz
Back
Top Bottom