Azzan Zungu ataka uwepo wa kodi ya uzalendo itakayokatwa kwenye Mitandao ya simu kwa kila Mtanzania

Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali.

Amesema kiasi hicho kikikatwa kwa Watanzania milioni 30 kati ya wote waliopo nchini huweza kufikisha shilingi bilioni 540 kwa kila siku.

View attachment 1758533
Huyu mzee nilijua naye atakuwa ata ana akili kidogo za kukulia mjini kumbe ni another bogus kabsa. Baada ya kufikiria sana nimegundua ushauri moja wapo wa Covid ni kutokukubali koo kukauka naona anaufanyia kazi kwa kuongea pumba tupu uko ndani.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali.

Amesema kiasi hicho kikikatwa kwa Watanzania milioni 30 kati ya wote waliopo nchini huweza kufikisha shilingi bilioni 540 kwa kila siku.

View attachment 1758533
Mwambie akatwe yeye na familia yake na ukoo wake wote!
 
Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali.

Amesema kiasi hicho kikikatwa kwa Watanzania milioni 30 kati ya wote waliopo nchini huweza kufikisha shilingi bilioni 540 kwa kila siku.

View attachment 1758533
Kwa hiyo wanatuletea kodi ya kichwa indirect. Upuuzi huu. Huyu Mbunge hafai kuwa mtetezi wa wananchi kabisa.
 
Yale Yale aliyosema madame President kuwa kuna watu wana DEMKWA..huyu mmoja wao..pumbavu kabsa.
 
Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali.

Amesema kiasi hicho kikikatwa kwa Watanzania milioni 30 kati ya wote waliopo nchini huweza kufikisha shilingi bilioni 540 kwa kila siku.

View attachment 1758533
Zungu ni mwendawazimu was bunge
 
Badala ya kupendekeza wafutiwe posho za kukaa Bungeni ili kuipunguzia serikali mzigo, anapendekeza aina nyingine ya kodi wakati kuingia tu mtandaoni tunakuwa tumelipa kodi kupitia vifurushi!...
Tena wewe ndiye nilikuwa nakutafuta nione una maoni gani kwenye hili. Umefanya vizuri kujisema kabisa uliwahi kupendekeza hili la tozo.

Lakini siyo kweli kwamba ulipendekeza iwe hiari, ulisema kabisa kila mmoja awe anakatwa TZS. 500 kwa mwezi na ukapiga mahesabu kabisa ukapata 240bn kwa mwaka. Kwa hiyo tafuta namna ya kumwunga mkono Mh. Zungu!
 
Tena wewe ndiye nilikuwa nakutafuta nione una maoni gani kwenye hili. Umefanya vizuri kujisema kabisa uliwahi kupendekeza hili la tozo. Lakini siyo kweli kwamba ulipendekeza iwe hiari, ulisema kabisa kila mmoja awe anakatwa TZS. 500 kwa mwezi na ukapiga mahesabu kabisa ukapata 240bn kwa mwaka. Kwa hiyo tafuta namna ya kumwunga mkono Mh. Zungu!
Soma hapa nilichoandika:

Serikali kupitia simu za mkononi, inaweza kukusanya fedha na kuanzisha Mfuko(Fund) wa kugharamia Bima ya Afya na Elimu ya Juu kwa Watanzania wote

 
kwanza ungeanza ninyi wabunge na mawaziri kukataa kila mwezi angalau 25%ya mishahara ambacho ni kiasi kidogo Sana.then uje kwetu.
Mlivyo walafi na wabnafsi hata Kodi hamlipi .tuondolee ujinga wako endeleeni kudemka mpaka viuno viwalegee.
 
Hivi wakazi wa Ilala walimchagua kwenda Bungeni kupigania kuongeza mzigo wa kodi?
 
Kama kuna mtu alimpgia kura huyu jamaa na yupo humu JF atuache akatafute kazi nyingine ya kufanya
 
Nakubaliana na wewe lakini pia taxi bubu nchini ziandikishwe na kupewa sticker kulipia kodi ya shs 30000/= kwa mwezi. Chanzo kipya sasa taxi hizo ni nyingi na zinaingiza pato lisilollipiwa kodi.
Mkuu iache serikali itumie akili kufanye ubunifu wake... Ukiwaonesha njia utawaumiza ndugu zako... Serikali isn't your beloved family!
 
Back
Top Bottom