Bado umeniacha njiani, mimi bado najiuliza alikubeba kukupeleka chumban kwake, yaan ukakubali kabisa kubebwa!😇 Kuna namna ulikuwa dilema, kwa akili ya kijasusi ulipokuwa seblen ulikuwa 70% kukubali ila ulipofika chumban ndo akili ikakurud ukajikuta unakataa
Huyu jamaa anakuwaga kama na kautabiri flan, mimi nayoikumbuka ni ile alowahi kusema bungeni kuwaambia wabunhe wa chama tawala kuwa "SIMNAFURAHIA WAPINZANI TUNAVYOFANYIWA NA SERIKALI, WAKIMALIZA KWA UPINZANI WATAHAMIA KWENU"
Nikirejea hayo maneno yake naona kama ndo kinachotokea sasa kwa Baadhi...
Simba hashindani na Yanga, anashindana na wenzake huko nje ya mipaka ya nchi, hasajili ili amfunge yanga, anasajili ili afanye vizuri huko kwenye michuano mikubwa (nje ya Tz), na sio dhambi maana kila timu ina malengo yake, na ndo maana unawaona yanga kwenye mechi zake na simba anakaza yupo...
Kwa mara ya kwanza maishan mwangu kupiga kura ni 2015 nikamchagua LOWASA (Marehemu), nilistaajabu baadae aliporudi kwenye Chama chake cha awali.🚮
Kuanzia pale nilijisemea "Wanasiasa wote ni matapeli tuu" na nikajiapiza sitawahi kupiga tena kura.
Hata kabla hamjaanza hizi NRNE mimi tayari...
Nyakati zinabadilika, kuna baadhi ya watu muda kwao ni mchache sana wakati huohuo majukumu ni mengi.
Nimeamua kuwaletea hii huduma ya SMILE DIGITAL STATIONERY ili kuwarahisishia wale ambao Hawana muda wa kwenda kukaa nusu saa, lisaa au masaa stationery kwaajili ya kuchapa na kusubiria kazi zao...
Hata siku moja usiingilie ugomvi wa Wazazi, kuwa Neutral.
Ulichokiona iwe siri yako, na kama ulivyoona kwa mama ako bc huenda na kwa baba ako ikawa hvyo au isiwe hivyo.
Unajiuliza kuwa umwambie mama ako kuwa anachomfanyia baba ako sio sahihi, yes unaeza fanya hvyo ila hyo utakuwa umefikisha tuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.