Afisa mikopo wa chuo anapokea na kusainisha wanafunzi wanaoripoti.. hapo ndipo anachukua taarifa zako! Unataka kutudanganya amekujuaje mkuu kitokololo[emoji848][emoji848]?
Kwa tuliopata first batch nadhani mnakumbuka ilikuwaje.. Mida kama hii waliandika kwamba hatujapata ila baadae mambo yakawa fresh. Naamini kabisa hata leo system zitakaa sawa tuache kutisha washkaji ambao wanaosubiri batch two #sio_poa
Bora ya leo mnaambiwa "wait" kuliko ule ujumbe mwekundu wa...
Kweli mkuu huyo jamaa haelewi anachosema... Inabidi aelewe aina ya maswali ya sayansi kwa format ya saahz yanaulizwa namna gani! Anaweza kusema form two na akakosa yote.. lazima ajue tunatumia competence based format
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.