Recent content by SMART PASSENGER

  1. SMART PASSENGER

    Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

    Kuwa Giant wa Afrika na kwa sajili hii ni ngumu sana
  2. SMART PASSENGER

    Wanawake tukataeni kistaarabu tunapowatongoza ipo siku utatamani hata upigiwe mruzi ila utaukosa

    Pole Boss ila uwe unasoma alama za nyakati kabla ya kuapproach Angalia kwanza dalili
  3. SMART PASSENGER

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Kijana ukasubutu kufukua mtaro Astaghafilulah umekwisha. Ukikuta unauzazi shukuru
  4. SMART PASSENGER

    Ujio wa kocha Benchikha ni hasara kama usajili wa Onana

    Hasara ipi Benkicha kaharibu wapi ??
  5. SMART PASSENGER

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unataka kustake high afisa ubashiri[emoji120][emoji16]
  6. SMART PASSENGER

    Ni godoro gani zuri na imara kati ya QFL Dodoma na Tanform Arusha?

    Nambari 1 ni tanfoam Aisee hili godoro lipewe heshima yake Sio story hili godoro ninalo na nalitumia
  7. SMART PASSENGER

    Kwanini unachukua namba ya simu ya mtu ambaye hautampigia?

    Kuna ile hali umechukua namba alafu badae stim inakatakata kwani wewe hujawahi kukutana nayo?
  8. SMART PASSENGER

    Wanasimba na Benchikha sasa ni damu damu

    Mimi ni Yanga damu damu Ila nawashauri Simba SC Msije kumuondoa huyu kocha wenu haijarishi mtaishia makundi Ushauri ni bure
  9. SMART PASSENGER

    FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

    Bila shaka unaisema yanga Pole kwa kufungwa dk za jioni ugulia maumivu no way
Back
Top Bottom