Recent content by SMART PASSENGER

  1. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake: Nifanye nini ili uweze kukubali kuwa mpenzi wangu

    Vigezo vimejaa kama job description 😂😂 Lakini swali la muhimu ni: wewe mwanamke unampa mwanaume nini mpaka akubali hiyo nafasi? Maana tunasikia sana “mwanaume awe hivi, awe vile, awe na hiki na kile” 😅 Na ukweli ni kwamba wanawake hamridhiki kirahisi 😂 ukitimiza vigezo 8, kesho vinaongezeka...
  2. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Hii michango ya harusi laki moja mnayoweka kwenye kadi tena bila option ya kuchagua ya size yako tutaonana wabaya aisee

    Sasa ivi tupo kwenye dunia ya kuacha huu ujinga,kama hutaki kitu unamwambia mtu direct tena ukiwa umenyooka kabisa,asilimia kubwa ya Watu tunaowaonea aibu hawana mchango wowote kwenye maisha yetu
  3. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Hii michango ya harusi laki moja mnayoweka kwenye kadi tena bila option ya kuchagua ya size yako tutaonana wabaya aisee

    Mimi nitakuchamgia Tu kama umewahi kuleta kitu positive kwenye maisha yangu.. vinginevyo nakwambia me Nina 20k nakuchangia Tu ,japo sitofika kwenye sherehe
  4. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Acha hila na majungu,kwani umelazimishwa kwenda kahama ,unaweza kupasifia kwenu au unapopaona panafaa bila kuponda sehemu,nyingine, Jua kuwa ukitoa majiji kama ( dar,Mwanza na Arusha) unatakiwa ujue Tanzania inafanana fanana Sana kaa ukijua Hilo mshamba wewe
  5. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Mungu awatangulie, nimependa
  6. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Me nikimpenda mwanamke nakwambia siwezi ogopa mwanamke yoyote kwenye maisha yangu nawachanaga live ,swala la kukubali,kunionaje au kunikataa Ni Maamuzi yake mwenyewe
  7. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania KERO Ongezeko la nauli kwenda au kutoka Zanzibar linatuumiza wengi

    Kila mtu abaki kwake
  8. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Aisee huyu dada wa Mgahawa amezidi sasa

    Kaka, kondomu inaweza kupunguza baadhi ya hatari za kiafya, lakini haiwezi kufanya jambo ambalo unaamini ni dhambi liwe sawa mbele za Mungu. Kama unaamini Neno la Mungu, basi usiongozwe na tamaa ya muda mfupi. Biblia inatukumbusha: "Ikimbieni zinaa." (1 Wakorintho 6:18). Mara nyingi dhambi...
  9. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu, mnavipataje hivi vitoto vya 2000? Maana nimejaribu kila mbinu nikafeli

    Jamaa nimecheka Sana Hii comment🤣🤣🤣🤣
  10. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Dawa za kulevya huwa zinatumika kwenye shughuli gani mpaka ziwe na thamani kiasi hicho?

    Yanatumika katika mambo mengi, pia Yana pesa ndefu Kwa sababu upatikanaji wake sio rahisi,icho kitu kimeyaongezea thamani mara dufu,MFano china ukikamatwa na madawa ya kulevya unapigwa kitanzi
  11. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Stail yangu ilikuaga moja Tu kifo cha mende sasa Kuna Malaya mmoja aliwahi kunikalia hivyo , nikawa naona kama pusi imehama kutoka mbele imerudi nyuma sema nili enjoy Sana hiyo dog stail kisha nikamlipa hela yake tokea hapo mademu wote huwa nawagonga na hiyo hiyo dog NI kama alinifundisha...
  12. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Misaada na mikopo tuliyoizoea inaendelea kuondoka, tukaze buti

    “Msaada kuondoka siyo lazima uwe funzo la kujitegemea, hasa pale ambapo mazingira ya kujisimamia hayajaandaliwa. Kabla ya kuwaambia watu ‘wakaze buti,’ ni muhimu kuhakikisha serikali imedhibiti matumizi mabaya ya fedha,ufisadi,wizi pia kuhakikisha Watu wamepewa fursa, rasilimali na mazingira ya...
  13. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Kwenye maisha yako ya utafutaji, usije ukarogwa ukakimbilia Moshi

    Hakuna hayapingani,hata kidogo Mimi nimejibu hoja Kwa hoja yako uliyoitoa,na wewe jibu hoja,kama huna usijitetee😂😂😂
  14. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Kwenye maisha yako ya utafutaji, usije ukarogwa ukakimbilia Moshi

    Kama wageni wamefanikiwa, hilo halimaanishi wenyeji ni wajinga—bali linaonyesha kuwa waliopata nafasi na rasilimali waliweza kuzitumia. Badala ya kuwadharau Wamatumbi, tueleze ni mfumo gani unawasaidia watu wengine kufanikiwa na jinsi wenyeji wanaweza kupata nafasi hizo. Akili ya kweli...
Back
Top Bottom