Vigezo vimejaa kama job description 😂😂 Lakini swali la muhimu ni: wewe mwanamke unampa mwanaume nini mpaka akubali hiyo nafasi? Maana tunasikia sana “mwanaume awe hivi, awe vile, awe na hiki na kile” 😅
Na ukweli ni kwamba wanawake hamridhiki kirahisi 😂 ukitimiza vigezo 8, kesho vinaongezeka...
Sasa ivi tupo kwenye dunia ya kuacha huu ujinga,kama hutaki kitu unamwambia mtu direct tena ukiwa umenyooka kabisa,asilimia kubwa ya Watu tunaowaonea aibu hawana mchango wowote kwenye maisha yetu
Mimi nitakuchamgia Tu kama umewahi kuleta kitu positive kwenye maisha yangu.. vinginevyo nakwambia me Nina 20k nakuchangia Tu ,japo sitofika kwenye sherehe
Acha hila na majungu,kwani umelazimishwa kwenda kahama ,unaweza kupasifia kwenu au unapopaona panafaa bila kuponda sehemu,nyingine,
Jua kuwa ukitoa majiji kama ( dar,Mwanza na Arusha) unatakiwa ujue Tanzania inafanana fanana Sana kaa ukijua Hilo mshamba wewe
Me nikimpenda mwanamke nakwambia siwezi ogopa mwanamke yoyote kwenye maisha yangu nawachanaga live ,swala la kukubali,kunionaje au kunikataa Ni Maamuzi yake mwenyewe
Kaka, kondomu inaweza kupunguza baadhi ya hatari za kiafya, lakini haiwezi kufanya jambo ambalo unaamini ni dhambi liwe sawa mbele za Mungu. Kama unaamini Neno la Mungu, basi usiongozwe na tamaa ya muda mfupi. Biblia inatukumbusha: "Ikimbieni zinaa." (1 Wakorintho 6:18). Mara nyingi dhambi...
Yanatumika katika mambo mengi, pia Yana pesa ndefu Kwa sababu upatikanaji wake sio rahisi,icho kitu kimeyaongezea thamani mara dufu,MFano china ukikamatwa na madawa ya kulevya unapigwa kitanzi
Stail yangu ilikuaga moja Tu kifo cha mende sasa Kuna Malaya mmoja aliwahi kunikalia hivyo , nikawa naona kama pusi imehama kutoka mbele imerudi nyuma sema nili enjoy Sana hiyo dog stail kisha nikamlipa hela yake tokea hapo mademu wote huwa nawagonga na hiyo hiyo dog NI kama alinifundisha...
“Msaada kuondoka siyo lazima uwe funzo la kujitegemea, hasa pale ambapo mazingira ya kujisimamia hayajaandaliwa. Kabla ya kuwaambia watu ‘wakaze buti,’ ni muhimu kuhakikisha serikali imedhibiti matumizi mabaya ya fedha,ufisadi,wizi pia kuhakikisha Watu wamepewa fursa, rasilimali na mazingira ya...
Kama wageni wamefanikiwa, hilo halimaanishi wenyeji ni wajinga—bali linaonyesha kuwa waliopata nafasi na rasilimali waliweza kuzitumia. Badala ya kuwadharau Wamatumbi, tueleze ni mfumo gani unawasaidia watu wengine kufanikiwa na jinsi wenyeji wanaweza kupata nafasi hizo. Akili ya kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.