Recent content by SMART PASSENGER

  1. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kamari ni mbaya sana nmecheka kijinga ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. SMART PASSENGER

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Case closed: Wahehe na wabena waendelee kupewa maua yao kwa kujitahidi kuwa wavumilivu kwenye ndoa, kujishusha na kulea watoto vizuri

    Nina kademu ka kihehe wacha nikomae nako japo kakimya sana yani story hadi nikapigishe
  3. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

    Kuwa Giant wa Afrika na kwa sajili hii ni ngumu sana
  4. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Uturuki yakamata magaidi wa Islamic State (Dola ya Kiislamu)

    Piga risasi wote hao
  5. SMART PASSENGER

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake tukataeni kistaarabu tunapowatongoza ipo siku utatamani hata upigiwe mruzi ila utaukosa

    Pole Boss ila uwe unasoma alama za nyakati kabla ya kuapproach Angalia kwanza dalili
  6. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Tafakuri: Ujio wa VAR utakuwa ni mwiba Kwa timu ya simba

    Simba mmeisha aise
  7. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Kijana ukasubutu kufukua mtaro Astaghafilulah umekwisha. Ukikuta unauzazi shukuru
  8. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Ujio wa kocha Benchikha ni hasara kama usajili wa Onana

    Hasara ipi Benkicha kaharibu wapi ??
  9. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unataka kustake high afisa ubashiri[emoji120][emoji16]
  10. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Ni godoro gani zuri na imara kati ya QFL Dodoma na Tanform Arusha?

    Nambari 1 ni tanfoam Aisee hili godoro lipewe heshima yake Sio story hili godoro ninalo na nalitumia
  11. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Kwanini unachukua namba ya simu ya mtu ambaye hautampigia?

    Kuna ile hali umechukua namba alafu badae stim inakatakata kwani wewe hujawahi kukutana nayo?
  12. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Wanasimba na Benchikha sasa ni damu damu

    Mimi ni Yanga damu damu Ila nawashauri Simba SC Msije kumuondoa huyu kocha wenu haijarishi mtaishia makundi Ushauri ni bure
  13. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Baada ya miaka 2000 hatimaye Mwanza yapata daraja la juu la kwanza

    Ohoo kumbe la wasukuma
Back
Top Bottom