Money wasted on a very ordinary car. Sijui niseme ni ulimbukeni alokuwa nao huyo alonunua ama vipi. This doesnt look like 800 milion shiloings car at all, its very ordinary, the interior isnt that much of a luxury to cost all that money, and whats the engine in the front? Could be an ordinary V6...
Wananchi wenzangu, kama alivosema mdau Swat, hii ni COMENT ISON, nimejaribu kutafuta picha ili niulize waliona kama imefanana, nilipowaonesha ya comet wakasema ndio walichoona, sikusita nkaanza kugoogle kuhusu comet na nikakutana na Comet Ison, ambayo katika ukurasa wa wikipedia wamesema kuwa...
Lunar eclipse itatokea october 18 mkuu, kilikuwa kitu kingine for sure, is it a Comet? Au kama alivosema mdau apo juu nyota imekufa?? Nimepata maelezo mengine kuwa kiwingu, katikati kama kulikua na nyota ivi ndogo, then ilikuwa inatembea kidogo kidogo mpaka ikafifia na kupotea!
Wakuu habari zenu.
Leo wakati naelekea zangu barabarani mida ya usiku, nilipishana na watu wawili watatu ivi wao wanatoka barabarani, wakati tunapishana nkamsikia mmoja akiuliza "kile nini, nyota au?" Mi sikushughulika kugeuka nyuma kushuhudia. Sasa kuna watu wanasema wapo Dar wameona, na...
Mbona nokia wamenunuliwa zamani tu. Au hili neno buying linamaana nyengine? Nokia phone business saivi ipo under microsoft, ndio walioinunua. Na the aim ni ku vompete na Apple na kina Android.
Kusema Ukweli, Nokia right now is struggling alot. Nokia nahisi will soon be another Blackberry...
Ni lazima nijue ina lock ya mtandao gani, kama nlivomueleza mkuu apo juu, kujua price lazima unitajie model, na network locked pia kama imei blacklisted au clean. Ukinipatia vitu ivo nitaweza kukupa price
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.