dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Daniel Yona na Basil Pesa Mbili Mramba wanasoma uzi huu
Unafuatilia maendeleo ya hizo kesi? Unajua mwelekeo wake?
Daniel Yona na Basil Pesa Mbili Mramba wanasoma uzi huu
Kwa hapa Tanzania tunahitaji rais kama Joyce Banda wa Malawi mwenye msimamo wa kufukuza kazi mawaziri wake walio corrupted. Hii nchi yetu haina serikali ya utawala bora, usenge umetawala toka ikulu mpaka serikali za mitaa na umekithiri kila kona kiasi kwamba wananchi hawana tena hutu kama zamani. Kuondokana na ujinga huu lazima tuwe na rais mwenye uchungu na nchi yake na who walks the walk. Pia lazima ipitishwe sheria ya kuwafungulia mashitaka marais na mawaziri wezi ili heshima irudi kwa mali za nchi na wananchi wake.
Bila kumung'unya natamka hivi Bibie Kaweza kuyafanya yaliyomshinda akina JK.
Mada haikucompare hawa wawili bali ilimsifia Joyce. Morality ni kitu muhimu sana kwa kiongozi kwani anakuwa role model. Kama raisi wako anafanya makosa hii haimsafishi joyce. Ninachosema morals ni muhimu kwa kiongozi yeyote. Anywhere wewe huwezi kuelewa kwani lugha yako inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani.
mwendelezo wake ni kama Tamthiliya ya Tausi ya Kenya ilioanza kwa mbwembwe na ikadorora baadae...Unafuatilia maendeleo ya hizo kesi? Unajua mwelekeo wake?
Wazazi wako ndiyo waliokufundisha matusi au wewe mwenyewe ndiyo umejifunza hasira na kisilani kamwe hakijengi wewe kama umevurugwa kimpango wako .
Umekaa ukafakali ukaona uanze kutukana tu we hewa kweli waliokuzaa wanahasala wangejuu wasingekuzaa.
Wazazi wako ndiyo waliokufundisha matusi au wewe mwenyewe ndiyo umejifunza hasira na kisilani kamwe hakijengi wewe kama umevurugwa kimpango wako .
Umekaa ukafakali ukaona uanze kutukana tu we hewa kweli waliokuzaa wanahasala wangejuu wasingekuzaa.
Kwa hapa Tanzania tunahitaji rais kama Joyce Banda wa Malawi mwenye msimamo wa kufukuza kazi mawaziri wake walio corrupted. Hii nchi yetu haina serikali ya utawala bora, usenge umetawala toka ikulu mpaka serikali za mitaa na umekithiri kila kona kiasi kwamba wananchi hawana tena hutu kama zamani. Kuondokana na ujinga huu lazima tuwe na rais mwenye uchungu na nchi yake na who walks the walk. Pia lazima ipitishwe sheria ya kuwafungulia mashitaka marais na mawaziri wezi ili heshima irudi kwa mali za nchi na wananchi wake.
J Banda kitu gani kaka! Shemeji yenu tu yule.Kwa hapa Tanzania tunahitaji rais kama Joyce Banda wa Malawi mwenye msimamo wa kufukuza kazi mawaziri wake walio corrupted. Hii nchi yetu haina serikali ya utawala bora, usenge umetawala toka ikulu mpaka serikali za mitaa na umekithiri kila kona kiasi kwamba wananchi hawana tena hutu kama zamani. Kuondokana na ujinga huu lazima tuwe na rais mwenye uchungu na nchi yake na who walks the walk. Pia lazima ipitishwe sheria ya kuwafungulia mashitaka marais na mawaziri wezi ili heshima irudi kwa mali za nchi na wananchi wake.
Kwa hapa Tanzania tunahitaji rais kama Joyce Banda wa Malawi mwenye msimamo wa kufukuza kazi mawaziri wake walio corrupted. Hii nchi yetu haina serikali ya utawala bora, usenge umetawala toka ikulu mpaka serikali za mitaa na umekithiri kila kona kiasi kwamba wananchi hawana tena hutu kama zamani. Kuondokana na ujinga huu lazima tuwe na rais mwenye uchungu na nchi yake na who walks the walk. Pia lazima ipitishwe sheria ya kuwafungulia mashitaka marais na mawaziri wezi ili heshima irudi kwa mali za nchi na wananchi wake.
upo sahihi kabisa lakini mkuu angalia lugha unayotumia " usenge" naona kama umeenda mbali sana.
J Banda kitu gani kaka! Shemeji yenu tu yule.
Lakini mbona Joyce Banda nae ameruhusu Useng3? Sasa tukiwa na mfano wake si tutaruhusu ndoa za mashoga na wasagaji? Unalionaje hili?