Recent content by slmmfm

  1. S

    Nahitaji iphone 6s plus 64gb and above

    Mwenyenayo anicheck inbox chap tufanye biashara
  2. S

    Anaeuza iphone 6s plus 64/128gb

    Mmiliki halali wa iphone 6s plus (64gb au 128gb) ambaye yupo tayali kuiuza ani text inbox, angalizo ''sihitaji dalali.''
  3. S

    Naitaji iphone 6s plus (64gb/128gb)

    Mmiliki halali wa iphone 6s plus (64gb au 128gb) ambaye yupo tayali kuiuza ani text inbox, angalizo ''sihitaji dalali.''
  4. S

    Naitaji iphone 6s plus (64gb/128gb)

    Mmiliki halali wa iphone 6s plus (64gb au 128gb) ambaye yupo tayali kuiuza ani text inbox, angalizo ''sihitaji dalali.''
  5. S

    INAUZWA Speaker kubwa ya sherehe au tukio, Tsh 150,000/-

    mi naitaji spika ya kutangazia biashara, niwe nachomeka frash naitia wateja. Ikiwa ya kuchaji itakua vizur zaid.
  6. S

    Imalampaka-Tabora

    unapafaham?
  7. S

    Imalampaka-Tabora

    Kama unatokea Imalampaka au unakifaham vizuri kijiji cha Imalampaka / Imalampaka primary school. Bonyeza like alafu fuata maelekezo.
  8. S

    Napata wasiwasi na mchumba wangu aendae chuo kikuu

    Ushaibiwa broh, tena usiombe akae off campus hapo ndo ata jina lako hatokuja alikumbuke kipind chote atakachokua chuo. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

    Hv naweza kufunga radio na screen kwajili ya kusikiliza na kuangalia video kwenye Bajaj.
  10. S

    Spain ni nchi nzuri kwa kufanya biashara

    Bajaj mpya huko sh ngapi?
  11. S

    Utoaji wa mikopo

    Je, nawezapata mkopo bank yeyote kwa kutumia hati yangu ya kiwanja kama dhamana. Kiwanja kipo town sio bush lakini kipo plan, hakina chochote. Nawasilisha.
  12. S

    Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

    Hiv kuna show room za bajaj kam tunavyouziwa magari?
Back
Top Bottom