Recent content by slimshedy

  1. slimshedy

    Toyota Coaster yenye injini ya 14B

    Waungwana nilitaka kujua kwa wale wanaoagiza magari toka nje ni kampuni ipi inayoagiza coaster zenye engine ya 14B na garama zake za kuagiza mpaka inafika hapa nchini kwetu. Naitaji kuyajua makampuni hayo wanatumia majina gani kwenye wave saiti ili niweze kuingia niangalie picha za hayo magari...
  2. slimshedy

    Sio utaratibu kwa wanaccm kupanga njama za kumhaini Rais na kumhujumu mwenyekiti aliyepo madarakani. Hata Lowassa hakufikia lilipofikia genge hili

    Mnatuchanganya tu mtaani hali ngumu mnakuja na makelele yenu Nani anayataka mtajuana wenyewe na vita vyenu vya kuchumia tumbo chama hakina msemaji kila mtu anapayuka tu kwavile mmeshamsoma boc anapenda nini ilimpate vyeo unafki mtu watanzania siyo wajinga
  3. slimshedy

    Nipo CLINIC nimemleta wife mama K hatua ya kwanza wote kupima VVU

    Hata ukikimbia nibure kama unao unao tu na kama huna huna tu
  4. slimshedy

    Hawa ndio baadhi ya nyoka duniani wanaopendeza kufuga kama pet nyumbani

    Nyoka ni nyoka tu wanini Mimi huyo
  5. slimshedy

    UONEVU : Watumishi wa Serikali wanaweka vitu bond kwa riba kubwa mno

    Kuna kampuni moja ivi inaitwa muhele ipo mkabala na mlimani city kampuni uchwara inakopesha unaacha kadi ya ATM wateja wao wakubwa ni walimu ciku ukifanyika msako pale nafkiri watazikuta card za ATM za walimu wote Wa dar maana sio kwakuwakopesha huko alafu bonge la riba
  6. slimshedy

    Halmashauri ya Kishapu kuhakiki kadi za benki za watumishi wake. Je, kadi hizo ni mali ya Serikali au mtu binafsi?

    Wenye vikampuni uchwara mapovu yanawatoka huu ndomwisho wenu wa kuibia watumishi
  7. slimshedy

    Halmashauri ya Kishapu kuhakiki kadi za benki za watumishi wake. Je, kadi hizo ni mali ya Serikali au mtu binafsi?

    Ipo na mtumishi haruhusiwi kukopa popote pale kupitia mshahara akibakiwa na 1 ya 3 ya mshahara wake ndomana wengi wanakimbilia kwenye izo taasisi za kipigaji
  8. slimshedy

    Halmashauri ya Kishapu kuhakiki kadi za benki za watumishi wake. Je, kadi hizo ni mali ya Serikali au mtu binafsi?

    Mkurugenzi yupo sahihi sana kuna makampuni ya upigaji unaacha kadi ya ATM alafu wanakukopesha fedha kwa riba kubwa mfano mzuri kuna kampuni inaitwa Muhele ninoma
  9. slimshedy

    Halmashauri ya Kishapu kuhakiki kadi za benki za watumishi wake. Je, kadi hizo ni mali ya Serikali au mtu binafsi?

    Mkurugenzi yupo sahihi sana kuna kampuni moja inatwa Muhele ofisi zao zipo mkabala na mlimani city wale jamaa wanawapiga sana watumishi hasa walimu ndiyo wateja wao wakubwa yani jamaa wanariba kubwa uspime unakuta mtu hana kitu inabidi tu wakope ukienda unaacha kadi ya ATM mwisho Wa mwezi...
  10. slimshedy

    Naomba kuuliza ulaji wa mafuta kwa toyota brevis

    Inakunywa paka supu achiliambali mafuta
  11. slimshedy

    Nauza salon ya kiume 6,000,000/=

    Niliwai kufungua biashara ya Salon aisee nipasua kichwa hao vinyozi wenyewe wanavyoringa yani salon yangu mwenyewe ilitaka kunipeleka jela labda kinyozi uwe wewe mwenyewe
  12. slimshedy

    'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

    Hapo kwa Hemed umechemka
  13. slimshedy

    Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

    Mi nashauri hii biashara ihalalishwe wawe wanalipa kodi haki zao zisimamiwe maana serikali inapoteza mapato zaidi ya mabilion ya hela hapa na wao waangaliwe kwenye swala la magonjwa hupati leseni paka upimwe ukimwi ukikutwanao pia leseni hupati kama nchi za wenzetu maana kuzuia ningumu
  14. slimshedy

    TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

    Msingi makalio duu! Duniani tunapita ule urisi sjui atakuwa kamuachia Nani maana kila picha ilikuwa lazma ihusishe makalio dah! R.I.P
  15. slimshedy

    Natangaza kiama kwa huyu daktari uchwara

    Najua inauma sana ila nakupa ushauri wa bure achananae tu ila jua mchumba hasomeshwi ndugu
Back
Top Bottom