0713816904, 0754543624 na 0222701845 hizi namba nilitumiwa na voda niwasiliane na m lipa lakini nimezijaribu hazipatikan. sasa kama kuna mdau anaweza jaribu kwa hiyo ya mezan awatafute halafu atupe mrejesho
wakuu mawasiliano ya 1bet tafadhar tokea asubuh hadi sasa pesa yangu hawajaniwekea washenz hawa, au kama kuna mtu kafanikiwa.kuweka peaa leo kwa mpesa anisaidie jins alivyofanya
Wakuu ninashida na mawasiliano ya admission officer wa arusha technical college Nina shida Mayo sana maana nimejaribu kumuelezea secretary kwa kutumia namba ya office lakini Majibu yake siyo msaada kwangu. Natanguliza shukran.
Nimejaribu kufanya application kwa ngazi ya Diploma ila wanataka niapload cheti cha form four na ninayemfanyia hana maana kamaliza mwaka 2016. Nahitaji msaada kwa aliyefanikiwa kufanya application hicho kipengele cha kuapload cheti cha form four kwa waliomaliza mwaka 2016 amefanyaje.
Asante kwa...
Kwa dit kuna njia tatu za kujiunga na diploma, ya kwanza ni kwa wale wanaokuwa select direct kutoka kidato cha nne hawa wanakuwa sponsered na serikali, ya tatu ni kwa kuomba direct chuon-hii unaweza itumia kwa kuzingatia matokeo yako (kwa kukidhi vigezo vilivyowekwa na nacte) na ya pili ni kwa...
Kuna kozi inaitwa Dental Labaratoty Technology inatolewa Chuo cha Afya Muhimbili. Naomba kufahamu uzuri wa hii kozi ukilinganisha na Clinical Medicine pamoja na gharama zake ili nifanye maamuzi sahihi nisije jutia baadae. Msaada kwa yeyote anayeifaham au anaeweza kuniulizia.
Niliposema diploma holders mwaka huu hamna mkopo wengine walinibeza na wengine walinitukana kabisa ila hebu fikiria heslb imetangaza kukamilika kwa uchakataji wa majina yote elfu 88,163 ya waliomba mikopo na kati ya hao ni wanafunzi elfu 25,183 ndiyo watakao pata miko na mpaka sasa wanafunzi...
Asante kwa maelezo yako mkuu, mimi pia ni doploma holder na usifikiri kama nasema vibaya au naleta dharau ila kiukweli mwaka huu diploma kupata mkopo miujiza inahitajika. Na kama huniamin subiria utaona, itunze hii coment yangu halafu siku ukithibitisha yale niyasemayo nitafute
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.