Msaada kwa yeyote anayeifahamu kozi ya Dental Labaratoty Technology

Slavins

Senior Member
Aug 18, 2016
101
36
Kuna kozi inaitwa Dental Labaratoty Technology inatolewa Chuo cha Afya Muhimbili. Naomba kufahamu uzuri wa hii kozi ukilinganisha na Clinical Medicine pamoja na gharama zake ili nifanye maamuzi sahihi nisije jutia baadae. Msaada kwa yeyote anayeifaham au anaeweza kuniulizia.
 
Unaonaje ukaenda chuoni direct au kuwatafuta kupitia website yao au umuulize Mwanafunzi anayesomea hapo??
 
yote mkuu yanawezekana ila humu pia humu Jf kuna wanafunz na walimu wanaofundisha na kusomea hapo wanaweza kunisaidia
 
Back
Top Bottom