Hata uchangiaji wa post umekuwa mdogo watu mnaandika pumba sana unakumbuka kipindi Ben Saanane yupo humu jitahidini kuandika point sio vioja post toka jana inawachangiaji 18!
Usiandike ili uonekane na wewe upo humu unaandika vitu bila ushahidi.
Ukitaka kujua ukweli wa haya anzia kwenye ibada kwenye sala mpaka kwenye mazishi ndio utajua nani anakandamiza aliyekuwa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.