Hata uchangiaji wa post umekuwa mdogo watu mnaandika pumba sana unakumbuka kipindi Ben Saanane yupo humu jitahidini kuandika point sio vioja post toka jana inawachangiaji 18!
Usiandike ili uonekane na wewe upo humu unaandika vitu bila ushahidi.
Ukitaka kujua ukweli wa haya anzia kwenye ibada kwenye sala mpaka kwenye mazishi ndio utajua nani anakandamiza aliyekuwa chini
Yaani hamis77 unataka kila unalitaka wewe kuuliza lijibiwe na Quran wewe unampangia Mungu lazima aseme maana ya neno zaburi dini haiendi hivyo kwa matamanio yako
Siku moja mgalatia mmoja alikuja na ujinga kama huu eti si mnasema Quran haijaacha kitu nikamwambia ndio akaniambia hivi kilo 10 ya...
Nani alikudanganya eti wazee wa miaka 80 hawafi wanalala?
Mungu ni muadilifu haangalii ulikufa kijana au mzee anaangalia umetenda mema au la hizo porojo nyingine kawadanganye wanademokrasia wenzako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.