Mkuu we upo kama mimi, mi pia nina LG siwezi kuwa na ma android TV hayo, na pia mimi huwa nacheza games via ps5, hayo ma android Tv kupata 4k native, na 120fps ni uongo...wanaokubeza ni vile wao ilimradi wana TV inch flani basi, hawajali quality na ndo wengi wao wako hivyo
sio kweli PURA hamna mshahara kiivyo, ila tu kama kada yako ni ya site ndio utasafiri sana, mshahara wa kawaida..pia hapo MSD ndio kabisa mshahara wa kawaida mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.