endapo nimeazimwa, huko ninapoenda kama kuna salary kubwa kuzidi nilipo, je salary yangu itakua ya huko destination au salary yangu itabaki ile ile niliotoka nayo taasisi ya awali...kwa hio case ya kuazimwa
hapo sijakuelewa mtaalam, yani mtu umeomba transfer, badala ya kupewa ya barua ya UHAMISHO, utapewa barua ya KUAZIMWA? why? so far kila ninae fahamu aliewahi kuhama barua yake ina heading ya UHAMISHO.
mtaalam hapo UDSM unavyopakuza hakuna cha maana hata, subiri uingie kwenye system ndo utaelewa....msiingie serikalini kwa expectations kubwa sana mtakua dissappointed(within 2-3 years) except kwa wachache wanaobahatika kupata taasisi zinazoeleweka
Mkuu we upo kama mimi, mi pia nina LG siwezi kuwa na ma android TV hayo, na pia mimi huwa nacheza games via ps5, hayo ma android Tv kupata 4k native, na 120fps ni uongo...wanaokubeza ni vile wao ilimradi wana TV inch flani basi, hawajali quality na ndo wengi wao wako hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.