Recent content by Skywalker00

  1. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    ni changamoto Mkuu, kwa mtu mwenye scenario kama hio unamshauri achomoke vipi hapo?
  2. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkuu ivi umegundua kwamba saivi hata ukianzisha transfer request inasema "Vacancy not budgeted" so kwa maana hii hata ukipewa barua na taasisi husiku uka attach kupita transfer request still unafeli
  3. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hakuna Maisha huko Mkuu, tena Non-academicians ndio worse kabisa
  4. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkuu usijichanganye kwenda vyuoni, utaliaaa
  5. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkuu unahamiaje sehemu kama hio, yani effort zote za kuhama uende sehem kama hio, mzee sifaham kada yako ila taasisi nzuri zipo kibao wekeza effort huko
  6. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    hujajibu swali mkuu, fafanua ombi lako la Uhamisho lilianzia VACANCY request au NORMAL TRANSFER request?
  7. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    endapo nimeazimwa, huko ninapoenda kama kuna salary kubwa kuzidi nilipo, je salary yangu itakua ya huko destination au salary yangu itabaki ile ile niliotoka nayo taasisi ya awali...kwa hio case ya kuazimwa
  8. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    na wote walitoka TAASISI A na kwenda TAASISI B, wizara tofauti kabisa
  9. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    hapo sijakuelewa mtaalam, yani mtu umeomba transfer, badala ya kupewa ya barua ya UHAMISHO, utapewa barua ya KUAZIMWA? why? so far kila ninae fahamu aliewahi kuhama barua yake ina heading ya UHAMISHO.
  10. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    mtaalam hapo UDSM unavyopakuza hakuna cha maana hata, subiri uingie kwenye system ndo utaelewa....msiingie serikalini kwa expectations kubwa sana mtakua dissappointed(within 2-3 years) except kwa wachache wanaobahatika kupata taasisi zinazoeleweka
  11. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    we si ulishapataga kazi?
  12. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Awamu ya Sita imemfilisi Mkandarasi mzawa kupitia TANROADS

    we jamaa lazima utakua QS tu
  13. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    sasa Mkuu si utaje taasisi, unavyoiweka siri dah[emoji23][emoji23]
  14. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    posho zipo
  15. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    hakuna kitu ka hicho, kwa sasa bado hawajafanya marekebisho
Back
Top Bottom