Recent content by Skywalker00

  1. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    endapo nimeazimwa, huko ninapoenda kama kuna salary kubwa kuzidi nilipo, je salary yangu itakua ya huko destination au salary yangu itabaki ile ile niliotoka nayo taasisi ya awali...kwa hio case ya kuazimwa
  2. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    na wote walitoka TAASISI A na kwenda TAASISI B, wizara tofauti kabisa
  3. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    hapo sijakuelewa mtaalam, yani mtu umeomba transfer, badala ya kupewa ya barua ya UHAMISHO, utapewa barua ya KUAZIMWA? why? so far kila ninae fahamu aliewahi kuhama barua yake ina heading ya UHAMISHO.
  4. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    mtaalam hapo UDSM unavyopakuza hakuna cha maana hata, subiri uingie kwenye system ndo utaelewa....msiingie serikalini kwa expectations kubwa sana mtakua dissappointed(within 2-3 years) except kwa wachache wanaobahatika kupata taasisi zinazoeleweka
  5. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    we si ulishapataga kazi?
  6. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Awamu ya Sita imemfilisi Mkandarasi mzawa kupitia TANROADS

    we jamaa lazima utakua QS tu
  7. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    sasa Mkuu si utaje taasisi, unavyoiweka siri dah[emoji23][emoji23]
  8. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    posho zipo
  9. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    hakuna kitu ka hicho, kwa sasa bado hawajafanya marekebisho
  10. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mkuu TPDC ni 1.8M junior officer, hakuna mshahara mkubwa kama watu wanavyodhania
  11. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Mkuu we upo kama mimi, mi pia nina LG siwezi kuwa na ma android TV hayo, na pia mimi huwa nacheza games via ps5, hayo ma android Tv kupata 4k native, na 120fps ni uongo...wanaokubeza ni vile wao ilimradi wana TV inch flani basi, hawajali quality na ndo wengi wao wako hivyo
  12. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Ghost of Tsushima best game Asee

    GTX 1050? Mkuu unatumia Graphics card ya zamani kinoma, unapata frame rate za kutosha kweli ku enjoy hio game Max settings
  13. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    taasisi gani?
  14. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mkuu huko sindo kuna miradi kama yote, safari pia lazima zitakua nyingi sana
Back
Top Bottom