Recent content by Skywalker00

  1. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    sasa Mkuu si utaje taasisi, unavyoiweka siri dah[emoji23][emoji23]
  2. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    posho zipo
  3. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    hakuna kitu ka hicho, kwa sasa bado hawajafanya marekebisho
  4. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mkuu TPDC ni 1.8M junior officer, hakuna mshahara mkubwa kama watu wanavyodhania
  5. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Mkuu we upo kama mimi, mi pia nina LG siwezi kuwa na ma android TV hayo, na pia mimi huwa nacheza games via ps5, hayo ma android Tv kupata 4k native, na 120fps ni uongo...wanaokubeza ni vile wao ilimradi wana TV inch flani basi, hawajali quality na ndo wengi wao wako hivyo
  6. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Ghost of Tsushima best game Asee

    GTX 1050? Mkuu unatumia Graphics card ya zamani kinoma, unapata frame rate za kutosha kweli ku enjoy hio game Max settings
  7. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    taasisi gani?
  8. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mkuu huko sindo kuna miradi kama yote, safari pia lazima zitakua nyingi sana
  9. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mkuu ni taasisi gani hio?
  10. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Kumbe TFS napo patamu

    Toa na hio TANROADS
  11. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Kumbe TFS napo patamu

    sio kweli PURA hamna mshahara kiivyo, ila tu kama kada yako ni ya site ndio utasafiri sana, mshahara wa kawaida..pia hapo MSD ndio kabisa mshahara wa kawaida mno.
  12. Skywalker00

    JamiiForums Tanzania Nahitaji PS4 games

    Mkuu si uvute ps5 upate atleast 60fps ili uenjoy smoothness ya hizo games, ps4 iko outdated sana na kama sio ps4 Pro ndo kabisa
Back
Top Bottom