Mkuu ivi umegundua kwamba saivi hata ukianzisha transfer request inasema "Vacancy not budgeted" so kwa maana hii hata ukipewa barua na taasisi husiku uka attach kupita transfer request still unafeli
Mkuu unahamiaje sehemu kama hio, yani effort zote za kuhama uende sehem kama hio, mzee sifaham kada yako ila taasisi nzuri zipo kibao wekeza effort huko
endapo nimeazimwa, huko ninapoenda kama kuna salary kubwa kuzidi nilipo, je salary yangu itakua ya huko destination au salary yangu itabaki ile ile niliotoka nayo taasisi ya awali...kwa hio case ya kuazimwa
hapo sijakuelewa mtaalam, yani mtu umeomba transfer, badala ya kupewa ya barua ya UHAMISHO, utapewa barua ya KUAZIMWA? why? so far kila ninae fahamu aliewahi kuhama barua yake ina heading ya UHAMISHO.
mtaalam hapo UDSM unavyopakuza hakuna cha maana hata, subiri uingie kwenye system ndo utaelewa....msiingie serikalini kwa expectations kubwa sana mtakua dissappointed(within 2-3 years) except kwa wachache wanaobahatika kupata taasisi zinazoeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.