Weee nenda Leo ujifanye polisi Jamii utoe hii taarifa kwanza utaambiwa vua mkanda na viatu andika maelezo afu ingia zero na kesho asubuhi unajikuta mahakamani kwa kosa la kujihusisha na ujambazi
ha ha ha acha uzembe wewe natuer hajamdis mtu ila ni ku utetea huu mziki ambao nyie wakata viuno mnaupoteza na kufanya udharaulike kwa jamii, watoto wa kiume kukata mauno nakuvaa nguo zinazo bana manake nini? na dada zao wafanye nini acha ungese wewe na ficha upumbavu wako
Hatimaye wakongwe wa Bongo Flava, Juma Nature aka Ramboooo na Lady Jay Dee aka Anaconda sasa naona kama wameamua baada ya kutoa wimbo mpya KAMA JANA ukiwa na mashairi makali lakini naona Juma kama anazingua hivi hebu sikiliza hapa http://hu.lk/a1tu1j9re39c
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.