Maneno ya kuepuka ukipanda DALADALA!

mwitaz

JF-Expert Member
Feb 19, 2012
315
93
*Nitakupa
*Atakupa mbele
*Utapewa nyuma
*Nitakupa nikikaa Vizuri *Ngoja isimame nikupe
*Subiri asimamishe nikupe
*Hivi nilivyokaa
nitakupaje?
*Utapewa tulia
*Nimempa hapa mbele usimpe huko nyuma
*Simamisha hapo mbele
nikupe
* Kwani wataka nikupe
mara ngapi
* Derevaaa simamisha... tupia ingine hapo >>>>
 
Jamaa alikuwa anaomba Msaada pale nguruwe karibu na kituo cha msimbazi mission. Konda anamwambia dereva, 'shusha nguruwe' jamaa akachachamaa nani nguruwe.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom