Kwa yeyote Aliye mwanza au anatembelea Jiji la mwanza napenda kumkaribisha endapo atahitaji usafiri wa kumzungusha kwa shughuli zake.basi awasiliane nami kwa namba 0742265564.atapata usafiri wa gari ndogo kwa bei Nafuu,kwa wakati wote.karibuni sana
Mimi ni mwanaume wa umri wa miaka 35 ,niko mwanza mjini natafuta kazi yeyote ....sitajari mshahara .....niko Tayari kufanya kazi hata kwa posho. ...ya siku.elimu yangu ni kidato cha nne na nilipita kwenye vyuo tofauti ........niko Tayari kufanya kazi usiku na mchana...sehemu yeyote.napatikana...
Mchungaji ufahi wewe....na usipotubu na kubaki kushabikia kwamba apelekwe mahakamani hakika dhambi ya uzinifu itakutafuna.kwanza kwanini uliruhusu waende polisi wakati wewe ni kiongozi wao kiroho?huna lolote wewe unammenya huyo mke wa mwenzio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.