ndio matatizo yenu wanawake wachache wenye akili finyu kama ww....klchokufanya uache vjana wenzako n nn...ww n juha..inaonekana una tamaa sana ww...jrekebshe kwanza ww.
Wote mlioenda kinyume na mtoa mada mnawazia matako....kama mna hoja mkosoeni kwa kuchambua alichokiongea kimoja baada ya kingne na mthibitishe uongo wa mtoa mada.
1.Mnafanya wote.
2.Andka barua iptie kwa mkuu wako,mratbu wako wa elim,afsa wako wa elim,afsa elim wa unaebadl
shana nae,mkurugenzi wako na juu kabsa mkurugenzi wa mnaebadlshana nae ktuo....baada ya kusain kwako mnabadlshana barua zksainiwa znarid tena kwako.
3.utasubr kibali kutoka Tamisemi...
Nahitaji mwalimu wa kubadilishana nae Kituo cha kazi,njoo wilaya ya Sikonge,Mimi nije Sumbawanga manispaa...kama Upo Tayar nitumie private msg tuwasiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.