Recent content by Skid Row Boy

  1. S

    Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

    Kuna jamaa mmoja naye hujisifia kuwa anakaa along Morogoro road, nadhani Mbezi Magufuli au Chama njiapanda kwenda Mlongazila. Nikajisemea hiiiiiii, gete gete nyandaa!!
  2. S

    Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

    Ngoja waje wakupopoe kwa mawe. Ni ukweli ingawa kuna kauchungu fulani hivi. Wengi tunabangaiza life hakuna la maana na miaka inaenda kasi. Kimaisha wengi hatujatoboa kivile isipokuwa exposure, ila full stress ya kutoboa kimaisha. Tunaishi magetoni zaidi ya miaka 15. Huwa narudi home mara...
  3. S

    Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro: Mchina anaendelea kuleta competition

    Mbona huzungumzii Huawei 60 Pro? Je, baba lao duniani kwa sasa Huawei Mate 60 Pro una la kusema?
  4. S

    Kilichotokea Hanang -Katesh ni Debris Flows, serikali na jamii ichukue hatua kuzuia isitokee tena

    Kama huelewi kitu bora kunyamaza. [emoji116][emoji116] mkondo wa mto Gendabi na Himiti hivyo kutengeneza tope [emoji116][emoji116] Himiti imeingiaje hapo? Himiti ni baada ya kupita Gendi, Kona ya Singe kuelekea Kondoa kutokea Bbati. Gendabi ipo chini ya Mlima Hanang ambapo kwa mbele kuna...
  5. S

    Jinsi ya kutumia "Compound Interest" kwenye mafanikio

    Sawa. Kuanzia sasa kaa tayari kupokea nondo.
  6. S

    Jinsi ya kutumia "Compound Interest" kwenye mafanikio

    Bora kwako tu sio kwa wengine. Mbona ni la muda sana hili? Umejiunga lini humu jamvini?
  7. S

    Jinsi ya kutumia "Compound Interest" kwenye mafanikio

    He/she copied from the part written in English and went to paste it on google translator. There is nothing scary there.
  8. S

    Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

    Ya mwanhooooooo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    Ukichelewa kulipa kodi, mwenye nyumba anatakiwa kukupa muda gani ili uondoke?

    Tafadhali sana naomba ulipe kodi. Kuja huku kutafuta ushauri haitakusaidia. Natoa siku 3 tu uwe umelipa, vinginevyo utakutana na vyomba vyako nje ya nyumba. Umenunua Audi New Model halafu hujajenga nyumba, unachiweza ni kuuza sura Samaki Samaki-Masaki. "ALISIKIKA MLEVI MMOJA KUTOKA BINJU...
  10. S

    Nini hasa kinafanya gharama za kuchimba kisima kuwa mil 8, 10, 12? What is so special?

    wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+. [emoji115][emoji115][emoji115] Ukibadili mita hizo kwenda kilomita utapata kilomita ngapi? Hizo tarakimu vipi? Au wanzuki ipo pembeni yako. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    Matembezi ya Jioni: Buza kwa Mpalange

    Msome aliyeleta mada ili tumsihi aache hiyo tabia mbaya. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. S

    Matembezi ya Jioni: Buza kwa Mpalange

    Upo nje ya mada. Soma kwa makini halafu urudi tena jamvini. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. S

    Matembezi ya Jioni: Buza kwa Mpalange

    Mirija itaziba kwa particles. Endelea tu siku moja utakuja kuomba ushauri ufanye nini ili upone. Wakulungwa tupo wengi humu, tutakushauri tu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom