Recent content by skalulu

  1. S

    Kwimba Wilaya ya vipaji

    Makao makuu yetu ya Gamboshi, naipenda Busumabu nzima -Ng'waniko,ibalu na mwamazengo but cku hizi tulikimbia Gamboshi tuko Kahama
  2. S

    Kikosi cha kampeni cha CCM chatajwa kuongozwa na Kinana, Nape na Mwigulu ndani

    sasa nyie?mmemwacha Joseph Msukuma, Ngeleja, na Maige, mnategemea huku Usukumani/Unyamwezini watu watawaelewa hao waswahili? Nibora sana hao wawepo kwingine tu huko Uswahiini. Halafu wengine WANA KITU KINAITWA "SALALA". Mkuu amwache kabisa Mgombea atembee na akina Maige, Ngeleja, Msukuma, na pia...
  3. S

    Lowassa kwa maono ya Le Mutuz!!!

    Mbona Bashe kapata, Maige kapata, Lugola kapata etc?
  4. S

    Huyu mzee ajambo!?!?

    jamani muwe mnaomba viwanja vya mipira -stadiums hii nyomi n balaa watu hawatakuwa na oxygen ya kutosha
  5. S

    Aliyekuwa mbunge wa Sikonge, Said Nkumba abwaga manyanga CCM na kujiunga CHADEMA

    Nkumba apewe agombee moja kwa moja, atashinda jimbo hilo maana ni mbunge amezoeleka na anakubalika Sikonge, ila mizengwe ya bao la mkono ndo limemuudhi kama alivyokatwa EL. Hapo akipewa Nkumba tuhesabu bado majimbo 133-1=132 kuunda serikali. Wasukuma/Nyamwezi wengi wako mapolini wanajuwa...
  6. S

    Aliyekuwa mbunge wa Sikonge, Said Nkumba abwaga manyanga CCM na kujiunga CHADEMA

    Kama ni kweli hii habari,tumpeni Nkumba agombee moja kwa moja, na atashinda tena. Nkumba anakubalika sana huko Sikonge mzwengwe yao ya mgori ya mkono hilo jimbo tukimpa Nkumba basi tumeongeza jimbo jipya kabisa ambalo piga ua ilikuwa si rahisi ukawa kulipata. Amini nawaambia. Wasukuma na...
  7. S

    Jimbo la Butiama mwenezi wa CHADEMA ahamia ACT

    Nimemsikiiza Kamanda maelezo yake, nikaona Kamanda shida yake ni Kugombea. Ila hajapata kura za kutosha. Ningekuwa mie sioni haja ya Kuhama na kutaka kugombea ubunge ACT ambapo sidhani kama atashinda kweli. Angetoa support kwa aliyeshinda, then yeye bado yuo kwenye roster in case UKAWA...
  8. S

    SNV World Organization

    i sna wanalipa irmsof dollars. Ukibahaisha utaula dola mingi ttu
  9. S

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Naitamani sana Serikali ya Edwad Ngoyai Lowassa ( RAISI) na John Pombe Magufuli-PM hii nchi itanyoka sana. Lakini hata mkienda dhmbi y kukata jina la EL. Basi Magufuli ndo Mnyamwezi pekee kuubeba mzigo huu. Vinginevyo-- UKAWA KAMA WANANAWAA!!
  10. S

    TANZIA: Mbunge wa Geita Mjini, Donald Max afariki Dunia

    Aiseeeee??? inasikitisha sana hii habari. Geita bwana Aisee!!! Sisi wasukuma twaweza kusema nikupigania jimbo nini? unless alikuwa sick muda mrefu. Je Msukuma atagombea kuikabili UKAWA? maana hili jimbo mwaka huu sijui kama litakuwa retained na Chama Changu.
  11. S

    Tujuzane maeneo ambayo UKAWA wana nafasi kubwa kutwaaa ushindi Oktoba

    1. Shinyanga Mjini-78% 2. Kishapu - 75% 3. Solwa-55% 4.Kahama-82% 5.Bukombe/Ushirombo-70% 6. Maswa Mashariki-80% 7.Maswa Magharibi-82% 8. Miatu-70% 9.Busanda-65%
  12. S

    Ukiniuliza nani ungependa awe Rais wa Tanzania

    Magufuli si Mtu wa kusafisha, kwani anakashifa gani?. Kusema ukweli kama Raisi atatokea CCM, basi Raisi Bora ni JOHN POMBE MAGUFULI PEKE YAKE. Hakuna Waziri ndani ya Serikali ya CCM anaye mzidi Magufuli. Magufuli, Aliselema, Alija. Angalia kwanza jinsi alivyotangaza nia, alivyochukua form...
  13. S

    Fred Mpendazoe kugombea ubunge Kishapu

    Ooooh, tuhesabu tayari Mpendazoe ni Mbunge. Huku ni nyumbani (Maganzo) Mwadui -kila kona ni Chadema tu, Mbunge aliyeko hajafanya kitu chochote na hafiki kwa wananchi, pia hawajawahi hata kumsikia Bungeni. Kishapu ki ukweli CHADEMA watashinda. Si hapo tu Mkoa wa Shinyanga mwaka huu ni Gumzo...
  14. S

    Operation TIGITIGI kwa Mikoa mitano yazinduliwa

    selemaga-aliselema -alija tuko pamoja kamanda--usisahau pia solwa magamba yanatamba sana jimbo hilo-tena pale iselamagazi treatment yake iwe tofauti kabisa
  15. S

    Maajabu makubwa ya prof.Muhongo

    Samahani, hivi wewe ni mdada au mkaka? aiseee!!!
Back
Top Bottom