Fred Mpendazoe kugombea ubunge Kishapu

Fred Mpendazoe kugombea ubunge Kishapu

Ooooh, tuhesabu tayari Mpendazoe ni Mbunge. Huku ni nyumbani (Maganzo) Mwadui -kila kona ni Chadema tu, Mbunge aliyeko hajafanya kitu chochote na hafiki kwa wananchi, pia hawajawahi hata kumsikia Bungeni. Kishapu ki ukweli CHADEMA watashinda. Si hapo tu Mkoa wa Shinyanga mwaka huu ni Gumzo, sidhani kama kuna jimbo litabaki CCM. Hiyo ni kweli kabisa, sisi tuko huku Shy. Shy mjini, Solwa, Kahama, MSalala. Nenda Maswa Mash/Magh ni noma, siku hizi hakuna cha NDUHU TABU
 
Kuwaacha wana KISHAPU bila muwakilishi na kukimbilia CCJ, kisha CHADEMA ni usaliti wa hali ya juu!

Kwani sheria ya nchi inakataza mtu kuhama chama?

Sioni usaliti hapo kwa mtu kutimiza haki yake kikatiba...
 
Kwani sheria ya nchi inakataza mtu kuhama chama?

Sioni usaliti hapo kwa mtu kutimiza haki yake kikatiba...
Mkuu nilikuwa nakuheshimu sana, ila sasa nimethibitisha pasipo shaka kuwa na wewe sio mzima kiakili!

Sasa kumbe mnafahamu kuhama chama sio sio kosa katika sheria za nchi? kwanini hukuwahi kukemea vitendo vya wafuasi wa CHADEMA kumtukana Zitto kisa tu alihama CHADEMA? Majina kama YUDA, MSALITI, amenunuliwa na CCM na mengineyo! huwa yanatajwa sana linapotamkwa jina la ZITTO.
 
Last edited by a moderator:
Kwani sheria ya nchi inakataza mtu kuhama chama?

Sioni usaliti hapo kwa mtu kutimiza haki yake kikatiba...
Sasa mbona Zitto na kina Mwigamba mnawashambulia.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nilikuwa nakuheshimu sana, ila sasa nimethibitisha pasipo shaka kuwa na wewe sio mzima kiakili!

Hahaha Mussa Allan naona sasa umekuwa muaguzi...

Jambo gani la ajabu nililoliandika hata uone Watu8 hamnazo kichwani...

Sasa kumbe mnafahamu kuhama chama sio sio kosa katika sheria za nchi? kwanini hukuwahi kukemea vitendo vya wafuasi wa CHADEMA kumtukana Zitto kisa tu alihama CHADEMA? Majina kama YUDA, MSALITI, amenunuliwa na CCM na mengineyo! huwa yanatajwa sana linapotamkwa jina la ZITTO.

Haya maneno mkuu waambie wafuasi na wanachama wa CDM...

Kutokuipenda kwangu CCM haina maana kuwa Watu8 ni mwanachama au mfurukutwa wa CDM...

Hapo juu nimejaribu tu kukumbusha kuwa huwezi kumuita mtu msaliti kwa kuwa tu kabadili msimamo, mtazamo na itikadi yake kisiasa...

Sasa mbona Zitto na kina Mwigamba mnawashambulia.

Kaka mkubwa nakukumbusha tena kama siku ile nilivyokueleza, Watu8 si mwanaCDM...

Hayo ya Mwigamba na Zitto tafadhali waulize jamaa wa CDM...
 
Last edited by a moderator:
Mpendazoe shujaa wa ukweli sio akina Sita,anarudi Bungeni mwaka huu

Unamwitaje shujaa? Huyu bwana si ni msaliti kama Zitto aliyeunda chama akiwa akiwa ndani ya chama!!!

Kama Mpendazoe ni shujaa basi kuanzia leo mmuombe radhi ndugu Zitto kwa matusi na kejeli mlizomfanyia!!
 
Mkuu nilikuwa nakuheshimu sana, ila sasa nimethibitisha pasipo shaka kuwa na wewe sio mzima kiakili!

Sasa kumbe mnafahamu kuhama chama sio sio kosa katika sheria za nchi? kwanini hukuwahi kukemea vitendo vya wafuasi wa CHADEMA kumtukana Zitto kisa tu alihama CHADEMA? Majina kama YUDA, MSALITI, amenunuliwa na CCM na mengineyo! huwa yanatajwa sana linapotamkwa jina la ZITTO.
Weweee! Hebu fikiri kidogo kabla ya kuongea usiwe kama robot au zombie. Zitto hakuhama CHADEMA Bali alifukuzwa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbona Zitto na kina Mwigamba mnawashambulia.

Bahati mbaya ukipaza sauti, haisikiki. Chadema wakikipigia yowe ya wizi, Kila mtu anadakia.
 
Last edited by a moderator:
Kala benchi sana, akajaribu asije akawa mwizi bure.
 
niko tayari kuchangia fedha kidogo ya kampeni , hizi mbinu za UKAWA kuchukua nchi ni za kisasa sana !
 
Jamari huyu jamaa Hana lolote na kwa maneno mengine amepoteza mouton kwa wanakishapu
 
Kwa mujimu wa ukurasa wake wa Instagram Fred Mpendazoe ametangaza kurudisha majeshi huko Kishapu.Hivyo atapeperusha bendera ya CHADEMA chini ya UKAWA.

Saafi UKAWA
Ina maana Mtatiro kapewa Segerea!100% anasubiri tu kuapishwa
 
Acha ujinga,Zitto AMEFUKUZWA na sio kuhama.

Sio kufukuzwa tu sema alifukuzwa kwa mbinde akang'ang'ania na kukimbilia mahakamani lakini bado na mahakamani akashindwa kesi. Akatimuliwa rasmi kwa nderemo na vifijo.
 
Back
Top Bottom