du, karne hii bado mtu unafikiria habari kijiji na uchawi,umefirisika kimawazo kwelikweli,wenzako tunawaza jinsi ya kufanikiwa wewe unawaza uchawi, mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe.wacha wanambeya tufurahie maisha yetu,chakula tele,huduma za jamii zakutosha, hata wewe mwenyewe tunakulisha...