Recent content by Sixv2

  1. Sixv2

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Akirudi kuamalizia story mniite mbwa nipo nimekaa hapa Mwenge Kwenye mataa!!
  2. Sixv2

    Mwanza: Mwalimu adaiwa kuwa na mahusiano na Wanafunzi 3 huku akilala na wawili kwa wakati mmoja kitandani

    Inasemekana Mwalim kashinda Mahakamani, ila Dc anaujua ukweli wazazi na watoto wamechezesha, kutokana na hasira za Dc ndo maana akasema atoke kwenye Wilaya yake.
  3. Sixv2

    GE2020 Mtia nia Udiwani CCM adondosha kibuyu chenye dawa

    Jisaidie na ww utasaidiwa, acha kila mtu atumie kile anachokiamin.[emoji2]
  4. Sixv2

    Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

    Naona Kama kifo kinakukaribia
  5. Sixv2

    Jinsi Kundi la G7 lilivotafuna Mademu wa Dar (mpaka sasa hivi wanatafuna) zijue Mbinu zao

    Wengine English hatujui unatuchanganya, ungeandika kiswahili Mwanzo Mwisho
  6. Sixv2

    Kama una hela huwezi kuishi Dar | Mji wa kishamba sana

    Kwanza ile kuandika tu jina la Dsm umekosea, pole sana nenda kalime nyanya. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Sixv2

    Kuna mfanyakazi wa ndani alikuwa anawaambia watu anasoma UDSM

    Siyo lazima kwa kila mtu kuposti. Kwani ukikaa kimya ukasoma post za wenzio utapungukiwa nn? Ila kwa post yako imenifanya kukujua vizuri, inaonekana hata mkeo anakujua ww ni mtu unayependa mambo ya kike, nd maana unatafuta story hata kwa HG wako.
  8. Sixv2

    Nilivyomla kiulaini sistadu aliyewashinda wengi

    Kwa mtoto kama ni bikra kufungua mkanda na kuanza kunyonya mboo umetudanganya, hapo ndo nimejua ni story ya kutunga. Bikra hawez nyonya mboo cku ya kwanza.
  9. Sixv2

    Line moja unayoona inafaa ni ya mtandao gani ?

    Mitandao ya internet inategemea na cm unayomiliki mzee.
  10. Sixv2

    Gwajima kesho kusuka au kunyoa

    Mavi kabisa waambieni wajinga na mambulula wanaowaleteen hela kanisan mnapata za kuhonga
  11. Sixv2

    Anayeifahamu Shule ya Sekondari Buhongwa jijini Mwanza anishauri

    Unabahati sana mzee kupangwa shule iliyopo mjin kabisa hapo nyamagana kila kitu kinapatioana, hongera sana
  12. Sixv2

    Subaru forester namba D inahitajika

    Kama jumbe wangu unavyojieleza hapo juu, please anayeuza gari aina ya subaru forester jaman, aje dm tufanye bashara ila iwe number D. Na iwe kwenye hali nzuri.
  13. Sixv2

    Natamani Kujiua

    Laaana ya mama yako hyo! Mzazi hakosei
  14. Sixv2

    Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

    Ww ni kabila gan? Hujataja. Pia huna mtoto ila ulishawahi kutoa mimba? Mbona husemi?
Back
Top Bottom