Gwajima kesho kusuka au kunyoa

Gwajima kesho kusuka au kunyoa

Na kweli , em jaribu kuangalia ile video tena ,,chunguza jinsi misuli ilivo vizuri ,yule ni mtu anayefanya mazoezi kabisa ,Je Gwajiboy anafanya mazoezi ,Je Gwaji hana hata kakitambi kaduchu,,Na pia kama kuna wataalamu wa kupima urefu kwenye video wapime urefu,

Tuwe na akiba kweli Mzee baba kesho analiamsha Dude

One touch double manifestation
Well said bro, tusubiri yajayo maana anaweza kumwaga mboga. Yaani bado akili inagoma kukubali kama ndiye.
 
This is real bad. Kuna mambo ambayo tunatafuta laana na mikosi na shida za dunia ambazo hatuzitaki. Kama kweli video ni usanii, pamoja ya kwamba nilijua tu, kitakachompata aliyeagiza hii filamu na wote waliohusika mimi sijui.


Ni vizuri ukawa "dilemma" usimtete sana bin-adamu mwenzako .Mkuu mwamimini Mungu muumba wa mbingu na nchi
 
Well said bro, tusubiri yajayo maana anaweza kumwaga mboga. Yaani bado akili inagoma kukubali kama ndiye.



Yes ni vizuri tukawa "dilemma" tusimtete wala tusimuamini sana bin-adamu mwenzetu .Mkuu tumwamini Mungu muumba wa mbingu na nchi
Reply
 
#Dr_Bishop_Gwajima
Video ya Gwajima akifanya ngono imetegenezwa na IT vijana wa mkuu wa mkoa wa Dar esalaam saa chache ilitumwa kwenye Group la whatsapp la watumishi wa mkoa baadaye kusamba kwenye magroup mengine.
Clip ambayo Bishop Dr Josephat Gwajima akiwa kifua wazi 100% ni snap yake ila aliyetegeneza clip hiyo aliunganisha clips mbili kwa wakati mmoja yani
-
-
Ile Joseph Gwajima akiwa kifua wazi hii ni clips ambayo Josephat Gwajima alijirekodi mwaka 2008 ndani ya kanisa lilikuwa hata bado halijakamilika na
-
-
Clip ya pili anaonekana Dr.Josephat Gwajima akifanya mapenzi hiyo ni picha ya kijana mmoja anajulikana kwa jina la Chid kichwa cha Gwajima kimekuwa croped kutoka kwenye clip yake nyingine pamoja na dada anayejulikana kwa jina la Cecy ambao wote wawili ni waathirika wa madawa ya kulevya japo kwa sasa wamepona kabisa wanatokea sober house Kigamboni walicheza hiyo clip kwa makubaliano maalum ya kulipwa mil 15 kwa wote wawili wakati editor alipata mil 5
-
-
Walilipwaje pesa nyingi hivyo wakati walikuwa wanafanya hicho kitendo wakiwa #FACE_OFF tukio lenyewe lilifanyika eneo la ukumbi ambao ulipambwa jukwaani ili ufanane na picha waliyokuwa wakiichukulia sample japo walifeli kidogo wakati wa kulinganisha pia kulikuwa na watu wanasimamia zoezi zima kama wamefumaniwa!
-
-
Kwenye hiyo clip ananaonekana Gwajima akinyoosha mkono kuiziba Camera mbapo inaonekana kuna mtu alikuwa anachukuwa tukio sasa iweje Gwajima aone mtu akichukuwa tukio halafu aendelee kufanya mapenzi?
Iko hivi kabla sura ya Gwajima haijapachikwa kwenye hiyo video makubaliano ilikuwa sura ya Chid na dada Cecy zisionekane sasa kipande hicho kinaonekana mkono ukizuia camera Chid alishtuka baada ya kuitwa na Alphonso (Editor) kwamba atizame camera ndipo Chid alipo paniki hapo kuna sauti iliondolewa ‘”we msenge vipi mbona unataka kuniuzisha sura? wakati makubaliano sura zetu zisionekane? Alphonso akamwambia usiwe na wasiwasi hapa natafuta position ya jinsi ya body staili ili wakati anaicrop kichwa cha Gwajima kikae vizuri maana lazima tumgeuzie kwa huku ili watu waone.
Baada ya kumaliza Bashite aliwaka sana baada ya kuona ule mkono uliokuwa unazuia camera maana umeharibu film Chid aligoma kurudia shooting ndipo Chid aliongozana na Alphonso hadi Magomeni ili akashuhudie jinsi editor akifanya kazi na kuhakikisha sura yake haionekani na kubaki sura ya Gwajima ikumbukwe tukio lilifanyikia Kigamboni.
Software iliyotumika kuchezeshea huo mchezo ni Lightwork na Blender Mac OS maalum kwa ajili ya action movies

Mavi kabisa waambieni wajinga na mambulula wanaowaleteen hela kanisan mnapata za kuhonga
 
Hivi ushahidi unatolewa na TCRA au Bishop Gwajima?
 
kasoro kubwa kwenye hiyo move ni huyo binti kuficha sura,haimake sense gwajima ajirecord akionyesha sura kisha mwanamke ahakikishe sura haionekani
 
Mkuu inawezekana unasema kweli lakini naona kama na wewe unajichanganya na kuzidi kumharibia Gwajiboy. Hiyo clip ya kifua wazi unayodai alijirekodi mwaka 2008 kanisani kwake mbaona inaonesha yuko bed room kabisa, na hata chandarua kinaonekana au huko kanisani huwa wanafunga vyandarua. Navyojua mimi kanisani ni sehemu takatifu iweje askofu aende kujirekodi kanisani kwake kifua wazi?
 
#Dr_Bishop_Gwajima
Video ya Gwajima akifanya ngono imetegenezwa na IT vijana wa mkuu wa mkoa wa Dar esalaam saa chache ilitumwa kwenye Group la whatsapp la watumishi wa mkoa baadaye kusamba kwenye magroup mengine.
Clip ambayo Bishop Dr Josephat Gwajima akiwa kifua wazi 100% ni snap yake ila aliyetegeneza clip hiyo aliunganisha clips mbili kwa wakati mmoja yani
-
-
Ile Joseph Gwajima akiwa kifua wazi hii ni clips ambayo Josephat Gwajima alijirekodi mwaka 2008 ndani ya kanisa lilikuwa hata bado halijakamilika na
-
-
Clip ya pili anaonekana Dr.Josephat Gwajima akifanya mapenzi hiyo ni picha ya kijana mmoja anajulikana kwa jina la Chid kichwa cha Gwajima kimekuwa croped kutoka kwenye clip yake nyingine pamoja na dada anayejulikana kwa jina la Cecy ambao wote wawili ni waathirika wa madawa ya kulevya japo kwa sasa wamepona kabisa wanatokea sober house Kigamboni walicheza hiyo clip kwa makubaliano maalum ya kulipwa mil 15 kwa wote wawili wakati editor alipata mil 5
-
-
Walilipwaje pesa nyingi hivyo wakati walikuwa wanafanya hicho kitendo wakiwa #FACE_OFF tukio lenyewe lilifanyika eneo la ukumbi ambao ulipambwa jukwaani ili ufanane na picha waliyokuwa wakiichukulia sample japo walifeli kidogo wakati wa kulinganisha pia kulikuwa na watu wanasimamia zoezi zima kama wamefumaniwa!
-
-
Kwenye hiyo clip ananaonekana Gwajima akinyoosha mkono kuiziba Camera mbapo inaonekana kuna mtu alikuwa anachukuwa tukio sasa iweje Gwajima aone mtu akichukuwa tukio halafu aendelee kufanya mapenzi?
Iko hivi kabla sura ya Gwajima haijapachikwa kwenye hiyo video makubaliano ilikuwa sura ya Chid na dada Cecy zisionekane sasa kipande hicho kinaonekana mkono ukizuia camera Chid alishtuka baada ya kuitwa na Alphonso (Editor) kwamba atizame camera ndipo Chid alipo paniki hapo kuna sauti iliondolewa ‘”we msenge vipi mbona unataka kuniuzisha sura? wakati makubaliano sura zetu zisionekane? Alphonso akamwambia usiwe na wasiwasi hapa natafuta position ya jinsi ya body staili ili wakati anaicrop kichwa cha Gwajima kikae vizuri maana lazima tumgeuzie kwa huku ili watu waone.
Baada ya kumaliza Bashite aliwaka sana baada ya kuona ule mkono uliokuwa unazuia camera maana umeharibu film Chid aligoma kurudia shooting ndipo Chid aliongozana na Alphonso hadi Magomeni ili akashuhudie jinsi editor akifanya kazi na kuhakikisha sura yake haionekani na kubaki sura ya Gwajima ikumbukwe tukio lilifanyikia Kigamboni.
Software iliyotumika kuchezeshea huo mchezo ni Lightwork na Blender Mac OS maalum kwa ajili ya action movies
Kwa hiyo baada ya utetezi huu kwamba Bashite was a mastermind , nyie na askofu wenu mmechukua uamuzi upi zaidi ya ule wa kujitetea mitandaoni ?
 
Wala ya kolomoje hautuitaki tunakata hiyo real tape ya wanayodai ni Chidi na Cesy na waionyeshe kesho kanisan tulinganishe na hii editing wanayodai imefanyika.
Kanisani tena??
 
Askofu huku mtaani hueleweki! Mimi nilikuwa na imani sana na wewe lakini maelezo yako kwenye Press conference hayajanishawishi kuwa ile video ni fake! Najua kesho utaongea ulisema huku zinaingia kokoto kule unatoka unga. Nachelea kusema zinaweza kutoka kokoto nzima nzima! Come out clean bro otherwise hutaeleweka! Lete ushahidi kuwa sio wewe vinginevyo utapoteza wachache waliobaki wanakuamini! Ni ushauri tu!
Askofu ni yule mtu aliyesimikwa na kanisa fulani kuongoza watu wa Mungu.
Sasa siajaonaga akisimikwa kajipa jina tu nadhani.
 
Back
Top Bottom