Mimi nitamkumbuka kama laana kubwa tuliopata watz haswa katika swala lauzulumati wa sisi wavuvi kata yakalya pamoja nakuwadhana zetu kuwa halali pamoja nakuwa naleseni jamaa alihitaji pesa za ziada ilimali yako aiache nakama haunapesa wanateketeza ulicho nacho na kuteka vingine mungu amlani...
Mungu amlani kwa kunitia umasikini mm mvuvi niliokuwa namiliki vyombo halali aliingiza unafiki wake kwa kusema kunanyavu haram ivikweli zana haram unaikatia leseni?lengo lake ilikuwa nipesa kama walivysema watekelezaji tulipo wanyima pamoja nakuwa tunadhana halali wakachoma tunamuomba mama...
Mimi naona nibora atimuliwe tu kwani toka aondoke jiwe kigoma umeme unakatika sana baki ukitoa 50 unapata unit 14 tu kwanini ametuweka kwenye matumizi makubwa hatahivyo unit zinakimbia ilemvaya wakati natumia taa za wat5 zipo 3 na 2 nazima wakati wakulala lakini hadi nauona umeme kama anasa tu
Na vipi kuhusu mashehe wetu naona wanaachiwa wengine wao kimya vipi basi wahukumiwe tujue onezi tulisha ambiwa serekali inaonea sana waislam alitamka gwajima
Kwakweli mama amtoe kalemani hapo naona anamuujumu mama toka magu atangulie huku kigoma kwanza umeme unakatika sana hatujawahi kushinda bila tatizo alafu watu tumewekwa kwenye matumizi makubwa wote naukiweka hiyo luku ya 10000 unapata unit 28 hata mwezi aumalizi zinakimbia kama nini sijui mfano...
Kwahiyo ndio rais wakwanza kufa duniani?muumba amesema wapi ukiwa rais huwezi kufa kama kuku ? Tuambie kidini au kisayansi namna ya vifo vilivyo pangwa kwa madaja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.