Wewe pumbavu limejengwa wakati wanani? Tuanzie hapo
Wewe pumbavu limejengwa wakati wanani? Tuanzie hapo
Na maiti yake itolewe kaburini iletwe mahakamani, ikipatikana na hatia itupiwe nguruweHuo ndio upigaji aliofanywa na utawala wa Jiwe.
Yule dingi anapaswa kusomewa mashtaka yake hata akiwa kaburini.
Most likely yamejengwa wakati wa Jiwe I guess!Pumbaf
Hivi vyote vilijengwa mwendazake akiwa rais. Hiyo ndiyo legacy ya mwenda zake
Upigaji bongo ndiyo zetu
Ova
Limejengwa chini ya dikteta uchwara Magufuli acha unaa wako hapa
Kwani zimejengwa wakati wa nani?
Wewe ndiye punguani, kabla mradi wowote haujaanza huwa kuna gharama inaandaliwa BOQJF imejaa mapumbavu yanayoigana kutoa komenti. Nyumba inaweza kujengwa wakati wa JPM lakini wakati wa kutoa gharama halisi wakataja za juu ili wapate pa kupiga. Kumbuka wakati JPM kafariki viongozi wamebadiri sana vitabu vya mahesabu.
Mkuu BOQ inaweza kuwa juu ya makadirio ama kuwa chini. Wewe unahisi BOQ ni kitu ambacho kipo konstant? hebu angalia yale majengo ya hostel pale Mlimani city tulipoambiwa na TBA kuwa pesa ilotumika ni almost half ya iliyotengwa. Kingine pia mradi pesa inaweza kuongezeka kulingana na mabadiriko ya kiuchumi, upatikanaji wa materials na natural factors kama mafuriko etc, sasa hapa ndiyo wajanja hupiga na kujiongezea posho. Mkuu next time acha kumtukana mtu ambaye humjui fanya yako tu achana na mambo ya kitaalamu. NOTE BOQ ni gharama za kufikirika ambazo mradi hutegemea kutumia mpaka ukamilikaji wake.Wewe ndiye punguani, kabla mradi wowote haujaanza huwa kuna gharama inaandaliwa BOQ
Hivyo huwezi kutamka gharama nje ya makadirio ya kubuni nje ya BOQ
Watanzania banaa hivyo vitu si vimejengwa na mwenda zake ???!!!!
We kiboko..!!Mrudishe anyooshe NCHI, OVER!!