Recent content by Six-month

  1. S

    Wanachama wa upinzani huku chini watofautiana na viongozi wao wakuu wa vyama

    Msichukue juju hoja ya kujitoa nionavyo mimi wapinzani wanahoja huwezi kuwachaguliwa wenzako tufanye mashindano pale hapa hapana kwamaana nyingine sehemu zawapinzani ndio amechukua tayari zinazopiganiwa sehemu nyingi nizile mshindi ni ccm hatamkiwashinda labda kwa bahati mbaya
  2. S

    Nini kifanyike kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi Tanzania

    Kaka Nashukuru kwakuupokea mchango wangu kunanako swala lamaji ya uhakika tanzania huwezi kutembea kilomita 25 hujakuta maji ambayo unaweza kututumia kwa umwagiliaji katika eneohusika tunamvua zakutosha nikiasi cha kujenga mabwawa nakuyavuna maji ambayo mungu katupa bure Sisi tunayapoteza sehemu...
  3. S

    Nini kifanyike kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi Tanzania

    Kwangu mimi tungeanza naumwagiliaji nchi nzima sehemu yapili umeme kwamaana ukiwa naumeme viwanda vingekuja bila shida unapokuwa namaji na umeme vyauhakika uwezi kosa viwanda vingejileta tu Nalatatu kwamimi reli tatizo haikuwa usasa bali usimamizi mbovu nakuboresha ile kama walivyofanya kwenye...
  4. S

    Bunge letu, Mahakama zetu na Dola Vs CHADEMA

    Kwanini chadema wanachukuliwa kama siwatanzania nikiangalia hata taarifa zao sizioni kama ilivyokuwa zamani kwakweli pamoja nayote sintowasahau wamenifunza makubwa kuliko chama chochote Sikuwa mwanachama wala mshabiki wao bali nimepata mafunzo kupitia mikutano yao wanajuwa kufundisha kweli...
  5. S

    Ni wakati Mwafaka wa kuwa na "Wabunge Wakazi"

    Hata mimi nalikubali hilo
  6. S

    Sababu za CCM kuweka mpira kwapani

    Wananchi tunajua mtuanaposema nitatoa m 50 kila Mtaa nakila kijiji na unaposema nitajenga vituo vya afya elimu bure umeme nareli nihadi tofauti kuziweka pamoja nakutulazimisha tuamini nimoja hawezekani waliokuwa wanaamini hivyo kizazi chakubadishiwa mada kimebakia kidogo hiki hakidanganyiki
  7. S

    Hivi Rais Magufuli anataka kuigeuza Tanzania kuwa mali yake binafsi?

    Tanzania haiwezi kuwa kama Rwanda abadani
  8. S

    Mahakama yaamuru wabunge 4 wa CHADEMA wakamatwe kwa kukiuka masharti ya dhamana

    Nionavyo mimi kama yanayo wapata hawajamaa ndio ingekuwa ni hao Wanaojiona wenchi kuliko wengine wangekuwa wamekwisha lakini hawa wananguvu yawanchi ndiomaana wapo pamoja nakufanyiwa vurugu wanaokopwa kwenye uchaguzi ifikie mahali mkubali wadadisi mlikuwa mnapendwa nawasiokuwa wasomi na wazee...
  9. S

    Chama Cha Kijamii (CCK) chajiondoa kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Zitto n Chai sio muhimu iwapo unaishi kwa wasiwasi hivi kweli pamoja najumuia zakimataifa kuamini Tanzania ndio Nchi muhimu katika kutatua migogoro yawenzetu iliwaishi kwaupole kama Sisi iweje sisi tutangulize mabavu kuliko tunavyo zaniwa niniwatambue tuliowasuluhisha? Hatuoni tunakwenda kupata...
  10. S

    Chama Cha Kijamii (CCK) chajiondoa kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Inawezekana kweli hukunielewa nachokisema nikwamba wasilazimishe kuviweka vyama nawagombea wake ikiwa chama kimesema hakitaki kushiriki uchaguzi iwapo wakilazimisha huenda mgombea huyo akashinda nachama hakimtambui hawaoni inaweza kusababisha uchaguzi kurudiwa nadhani umeelewa sasa
  11. S

    Hivi ni kwanini Serikali hii ya Rais Magufuli inawahofia mno wapinzani?

    Tatizo kilakitu tunazani ni mabavu hatakuomba tutumie mabavu hatufiki tukikumbuka wavuvi vyavu halali zilichomwa huu ulikuwa muda wetu sasa kwakua wanahisi mambo mengi hayakuwa sahihi sasa nawao wameshuka kwenye cheo chaungu nakuvaa ubinaadamu wameingiwa nahofu kubwa wanajaribu mabavu.
  12. S

    Chama Cha Kijamii (CCK) chajiondoa kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

    watoe majina yao walewote vyama walivyo pitia ambavyo vimeomba kujitoa yasibandikwe kwanguvu kwamaana wanaweza kushinda alafu akafukuzwa nachama kikachukua kadi ikaleta tena kazi yakuchagua vyama vya upinzani vimeunga mkono ccm bandika ya ccm tu leo hamtaki kuungwa mkono juhudi ilikuwa wapinzani...
  13. S

    Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

    Kwa kweli leo nadhani wanaona kunaumuhimu wamgombea binafsi wangepata chaka lakujifika kila siku tunaambiwa mh kafanya kazi kuliko nawapinzani wakaacha nafasi zao kwenda kuunga juhudi za mh pia vyama viunga navyo mkono kulazimishana kunatoka wapi nilitegemea kwakile kilichokuwa kinazungumzwa...
  14. S

    Chama Cha Kijamii (CCK) chajiondoa kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Vyama vyote vinaunga juhudi za mh kulazimishana kwanini nitabandika majina yote yanini jafo?
Back
Top Bottom