Kuna msiri wangu yupo jikoni huko kanipa sababu za kwanini ccm na serikali yake waliamua kuweka mpira kwapani mapema na kujitangazia ushindi serikali za mitaa,.
Chanzo changu kinasema kuwa ccm na serikali yake walifanya utafiti mapema sana, na wakagundua kuwa hawakubaliki na stone wananchi hawamuelewi, namna ya kuiba kura ikashindikana maana uchaguzi huu ulikuwa unafanyika ngazi ya chini hivyo polisi wasingeliweza kuthibiti maeneo yote.
Suluhisho likawa ni kuwakata wagombea wa vyama vingine ili uchaguzi usifanyike kabisa, kwa vile refa ni wao walitumia vikanuni vyao walivyovitunga kuwamaliza upande wa pili, ingawaje hujuma zingine kama kufunga ofisi zilitunga pia.
Mnyetishaji anadai katika mambo yanayomuumiza stone ni pamoja na utafiti kuonesha hakubaliki.
Chanzo changu kinasema kuwa ccm na serikali yake walifanya utafiti mapema sana, na wakagundua kuwa hawakubaliki na stone wananchi hawamuelewi, namna ya kuiba kura ikashindikana maana uchaguzi huu ulikuwa unafanyika ngazi ya chini hivyo polisi wasingeliweza kuthibiti maeneo yote.
Suluhisho likawa ni kuwakata wagombea wa vyama vingine ili uchaguzi usifanyike kabisa, kwa vile refa ni wao walitumia vikanuni vyao walivyovitunga kuwamaliza upande wa pili, ingawaje hujuma zingine kama kufunga ofisi zilitunga pia.
Mnyetishaji anadai katika mambo yanayomuumiza stone ni pamoja na utafiti kuonesha hakubaliki.