Majigambo yametawala uzinduzi wa ajenda ya kitaifa utafiti wa mifugo 2020-2025

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,800
Waziri wa mifugo na uvuvi amejikita katika kusifia vitu ambavyo kiuhalisia havionekani. Hotuba nzima ni sifa tu. Sjui hawa mawaziri wamepatwa na nin. Nilitegemea kwenye uzinduzi wa mkakati huu wa mifugo wa 2020-2025 azungumzie changamoto na mikakati ya namna ya kutatua. Nahisi Rais wetu anadanganywa sn na wateule wake. Hizi sifa ni tooo much,wala hazimsaidii hata yeye.
 
Hii ni miongoni mwa thread ngumu sana kuisoma na kucomment ndani ya jukwaa hili
 
Waziri wa mifugo na uvuvi amejikita katika kusifia vitu ambavyo kiuhalisia havionekani. Hotuba nzima ni sifa tu. Sjui hawa mawaziri wamepatwa na nin. Nilitegemea kwenye uzinduzi wa mkakati huu wa mifugo wa 2020-2025 azungumzie changamoto na mikakati ya namna ya kutatua. Nahisi Rais wetu anadanganywa sn na wateule wake. Hizi sifa ni tooo much,wala hazimsaidii hata yeye.
Rubbish, ngoja niwatukane. Tambo za nini wakati ngombe wanakufa kwa kukosa gentamycin butalex and many many more vet medicines. Hakuna kabisa kabisa, halafu watu wanatoa kamasi hapa!
 
Katika kipindi hiki mifugo imekuwa mingi na Sera ya uzalishajia imekuwa ya mafanikia


State agent
 
Katika kipindi hiki mifugo imekuwa mingi na Sera ya uzalishajia imekuwa ya mafanikia


State agent
Tunaishukuru serikali ya awamu ya tano chini ya jemedari JPM kwa kupunguza muda wa mimba za ng'ombe toka miezi 9 mpaka miezi 4 na hivyo kuongeza idadi ya ng'ombe. Tunaomba pia atupunguzie muda wa mahindi kukomaa kutoka siku 90 mpaka siku 30.
 
Waziri wa mifugo na uvuvi amejikita katika kusifia vitu ambavyo kiuhalisia havionekani. Hotuba nzima ni sifa tu. Sjui hawa mawaziri wamepatwa na nin. Nilitegemea kwenye uzinduzi wa mkakati huu wa mifugo wa 2020-2025 azungumzie changamoto na mikakati ya namna ya kutatua. Nahisi Rais wetu anadanganywa sn na wateule wake. Hizi sifa ni tooo much,wala hazimsaidii hata yeye.
Namshangaa hatamimi
 
Bwahahahaaaaaa
Tunaishukuru serikali ya awamu ya tano chini ya jemedari JPM kwa kupunguza muda wa mimba za ng'ombe toka miezi 9 mpaka miezi 4 na hivyo kuongeza idadi ya ng'ombe. Tunaomba pia atupunguzie muda wa mahindi kukomaa kutoka siku 90 mpaka siku 30.
 
Back
Top Bottom